CHADEMA yatangaza Kongamano Kubwa la Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi Arusha Mjini

I am not a juha, tuna katiba nzuri sana TZ, na haifuatwi, mnafanyaje nyie wakuu kuhakikisha hii katiba iliyopo inafuatwa? Makelele tuu mitandaoni, follow up nothing

Tulia ww bendera fuata upepo. Kama katiba iliyopo ni nzuri na haifuatwi, nenda mahakamani kahakikishe inafuatwa, huko ndio utajua ni katiba nzuri au mbaya. Ww huwezi kufanya follow up, au kuna mtu umemuagiza akusaidie kufuatilia?
 
CHADEMA hovyo sana, wenyewe wana Mwenyekiti wa maisha, hawawezi mbadili, hawana kabisa demokrasia, ila wanataka demokrasia sijui kutoka wapi, sijui wanadhania Katiba ndio kila kitu, in short CHADEMA ni SACCOS ya Mbowe & family, followers wa Chadema ni mfu kabisa in thinking, yaani misukule 100%.

Ndani tu ya Chama binafsi cha Mbowe hawana kabisa demokrasia, iweje wakate demokrasia kutoka nje yao? Wamekosa ajenda, sasa wanakimbizana na Katiba. Wahuni watupu.
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , inaonyesha kwamba Ule Mkakati wa Chama hicho wa Kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi sasa Umewashwa kwa kiwango kikubwa Zaidi , na kwa kuanzia utalipuliwa Arusha Mjini .

View attachment 2229548

Kongamano hilo Kubwa linalotajwa kukusanya WATU WOTE MAARUFU NA WAPIGANIA HAKI WA TANZANIA , Limepangwa kufanyika Tarehe 21/05/2022 kwenye Ukumbi wa Sundar kuanzia saa 3 Asubuhi , Taarifa nyingine zinadai kwamba kwa sasa Moto wa Makongamano hayo unatarajiwa kuwashwa nchi nzima kwa kugawa viongozi Wakuu na Wapigania Haki wote wakiwemo Mashehe wanaoheshimika na Maaskofu kadhaa kwenye Kanda zote kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi .

Ulinzi wa kiwango cha juu ( VIP PROTECTION ) Umethibitishwa .

Wote Mnakaribishwa .
Good nitahudhuria
 
Tulia ww bendera fuata upepo. Kama katiba iliyopo ni nzuri na haifuatwi, nenda mahakamani kahakikishe inafuatwa, huko ndio utajua ni katiba nzuri au mbaya. Ww huwezi kufanya follow up, au kuna mtu umemuagiza akusaidie kufuatilia?
Hahaha, Mkiti wenu kawaambia muache matusi, shambulia hoja and not mleta hoja. Why unataka katiba mpya Chief? iliyopo ina shida gani? Then wewe ni kama matahira wengine wa mitandaoni, no impact yeyote
 
Covid-19 bado ni wabunge ama siyo wabunge? Kwanini chadema haitangazi maandamano kwenda ikulu kupinga hii futuhi ya serikali ya kuwakumbatia covid-19??
Ikulu haihusiki na jambo lililopo mahakamani. Hiyo ni kuingilia mhimili mwingine majukumu yake
 
Movement zote za Chadema hazijawahi kufanikiwa, huwa mpo kimaslahi tu, hapo mnapambania katiba mara tume huru, lengo kuu Ni muende bungeni ,

Miaka yote mmekuwa hivo, JPM alipowapoteza kwenye ulingo wa siasa ,mmeanza Tena Movement uchwara

Operation sangara,M4C,Join The Chain, n.k hazijawahi kufanikiwa
Ko unafurahi wenzio wakipotezwa kwenye siasa ili kijani mtawale ninyi tu? Hakuna agano la mungu na ccm kukaa madarakani. Acheni kukubali udhalimu wa kunyamazishana kisiasa.
 
I am not a juha, tuna katiba nzuri sana TZ, na haifuatwi, mnafanyaje nyie wakuu kuhakikisha hii katiba iliyopo inafuatwa? Makelele tuu mitandaoni, follow up nothing
Hii ambayo Mwenyekiti wa ccm anateua kila amtakaye ?
 
CDM bana, bila kufanya vurugu siasa zenu zinakufa kabisa, poleni...! Kumbukeni hayo makongamano yenu yanahitaji kibali cha polisi
Hivi ni kweli wao chadema hutaka kufanya vikao bila kuomba kibali au hunyimwa ilihali chama tawala ni ruksa kila waamuapo?
 
CHADEMA hovyo sana, wenyewe wana Mwenyekiti wa maisha, hawawezi mbadili, hawana kabisa demokrasia, ila wanataka demokrasia sijui kutoka wapi, sijui wanadhania Katiba ndio kila kitu, in short CHADEMA ni SACCOS ya Mbowe & family, followers wa Chadema ni mfu kabisa in thinking, yaani misukule 100%.

Ndani tu ya Chama binafsi cha Mbowe hawana kabisa demokrasia, iweje wakate demokrasia kutoka nje yao? Wamekosa ajenda, sasa wanakimbizana na Katiba. Wahuni watupu.
Kapikie watoto uji...
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , inaonyesha kwamba Ule Mkakati wa Chama hicho wa Kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi sasa Umewashwa kwa kiwango kikubwa Zaidi , na kwa kuanzia utalipuliwa Arusha Mjini .

View attachment 2229548

Kongamano hilo Kubwa linalotajwa kukusanya WATU WOTE MAARUFU NA WAPIGANIA HAKI WA TANZANIA , Limepangwa kufanyika Tarehe 21/05/2022 kwenye Ukumbi wa Sundar kuanzia saa 3 Asubuhi , Taarifa nyingine zinadai kwamba kwa sasa Moto wa Makongamano hayo unatarajiwa kuwashwa nchi nzima kwa kugawa viongozi Wakuu na Wapigania Haki wote wakiwemo Mashehe wanaoheshimika na Maaskofu kadhaa kwenye Kanda zote kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi .

Ulinzi wa kiwango cha juu ( VIP PROTECTION ) Umethibitishwa .

Wote Mnakaribishwa .
Naona bunge limemwaga mboga nyie mnabeba ugali mama atajua hajui safar hii hiv mnapataga wapi nguvu za mapambano kila siku wakat hamjawahi hata kushinda? Badala hata mjenge tu ofisi yenu kuutwa mko barabarani mje mpate maajali bure
 
Hawa wahuni wameanza vurugu zao tena,watu wapo na furaha za mama kuupiga mwingi mnatuletea vurugu zenu hiki chama sijui kitastaarabika lini utafikiri wanakula vya Arusha ni shida tupu..
Makongamano siyo vurugu, hiyo ni movement ambayo ni endelevu ikiwa unataka au hutaki ila wapenda nchi ni lazima waione katiba ya 77 iliyotumika kwa chama kimoja na watu chini ya mil.40 haina tija kwa sasa kwenye taifa linalofikia watu mil. 60+ na vyama zaidi ya 10.
 
Mbowe akafanye siasa zake Hai. Arudi jimboni kwake. Arusha tumechoka kupigwa mabomu ya machozi na mabomu mengine ya kweli kwenye mikutano ya Mbowe.
Mbowe ni mtanzania hivyo anayo haki ya kuzungumza akiwa popote nchini hapa. Mi siyo sifungamani na chama chochote ila kwa hili la katiba mpya CDM nawapa baraka zote ni suala jema sana nchini. Nchi hii si mali ya ccm wala nani, ni ya watanzania na akishika wa chadema, ACT, NCCR, CCM n.k najua iko mikononi mwa watanzania tu. Tusiwe waoga wa kuwa wawajibikaji kikatiba.
 
Hahaha, Mkiti wenu kawaambia muache matusi, shambulia hoja and not mleta hoja. Why unataka katiba mpya Chief? iliyopo ina shida gani? Then wewe ni kama matahira wengine wa mitandaoni, no impact yeyote

Narudia tena, tulia ww bendera fuata upepo, ww tetea katiba hii, acha sisi wengine tunaoona mapungufu tudai iliyo bora.
 
I am not a juha, tuna katiba nzuri sana TZ, na haifuatwi, mnafanyaje nyie wakuu kuhakikisha hii katiba iliyopo inafuatwa? Makelele tuu mitandaoni, follow up nothing
Haifuatwi kwa sababu haijitoshelezi katika utoaji wa adhabu kwa wanaoikiuka maana imewapa watu mamlaka makubwa kuliko katiba yenyewe. Weka misingi imara ambayo itawawajibisha wote wenye kuenenda kinyume nayo, mfano: jaji mkuu asiwe na muingiliano na rais kwenye kuteuliwa hadi kutoa hukumu.
 
Naona bunge limemwaga mboga nyie mnabeba ugali mama atajua hajui safar hii hiv mnapataga wapi nguvu za mapambano kila siku wakat hamjawahi hata kushinda? Badala hata mjenge tu ofisi yenu kuutwa mko barabarani mje mpate maajali bure
Uoga ni laana
 
Haifuatwi kwa sababu haijitoshelezi katika utoaji wa adhabu kwa wanaoikiuka maana imewapa watu mamlaka makubwa kuliko katiba yenyewe. Weka misingi imara ambayo itawawajibisha wote wenye kuenenda kinyume nayo, mfano: jaji mkuu asiwe na muingiliano na rais kwenye kuteuliwa hadi kutoa hukumu.
Siyo kwamba haelewi ila anataka kutupotezea muda tu
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , inaonyesha kwamba Ule Mkakati wa Chama hicho wa Kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi sasa Umewashwa kwa kiwango kikubwa Zaidi , na kwa kuanzia utalipuliwa Arusha Mjini .

View attachment 2229548

Kongamano hilo Kubwa linalotajwa kukusanya WATU WOTE MAARUFU NA WAPIGANIA HAKI WA TANZANIA , Limepangwa kufanyika Tarehe 21/05/2022 kwenye Ukumbi wa Sundar kuanzia saa 3 Asubuhi , Taarifa nyingine zinadai kwamba kwa sasa Moto wa Makongamano hayo unatarajiwa kuwashwa nchi nzima kwa kugawa viongozi Wakuu na Wapigania Haki wote wakiwemo Mashehe wanaoheshimika na Maaskofu kadhaa kwenye Kanda zote kwa lengo la kuwaelimisha wananchi umuhimu wa Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi .

Ulinzi wa kiwango cha juu ( VIP PROTECTION ) Umethibitishwa .

Wote Mnakaribishwa .
Hii si ya kukosa. Tunaaanza Upyaaaaaaa
 
Naona bunge limemwaga mboga nyie mnabeba ugali mama atajua hajui safar hii hiv mnapataga wapi nguvu za mapambano kila siku wakat hamjawahi hata kushinda? Badala hata mjenge tu ofisi yenu kuutwa mko barabarani mje mpate maajali bure
Sisi ambao hatushindi wewe inakuhusu nini? Muulize Jaji Mtungi na Dr Mahera watakwambia Nguvu ya Chadema. We endelea kulamba watu viatu
 
Back
Top Bottom