Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,222
- 98,176
Kama nchi imesha washinda sibora wawaachie wengine
Mkuu nchi imewashinda tayari sema tu wanaona noma kukiri
Kama nchi imesha washinda sibora wawaachie wengine
Ha ha ha kweli mkuu, HKL hadi Pharmacy!
Afu nadhani hiki kizazi Waziri wao ni Philipo Mulugo (Tanzania = Visiwa vya Zimbabwe + Tanganyika).
Na haya ndio madhara ya kulazimisha Big Results Now ktk Elimu. Mara division 5. Mara kubadili matokeo ya Form 4 mara 2!
Hawa ukiwaambia una umwa mgongo hawachelewi kukupa Metakefrini!!
JK bhana kaweka historia nyingi Bongo!
Na wanafunzi nao ni wajinga vya kutosha utasomaje HKL ,halafu ukasome pharmacy na wew unakubali kuupoteza mda wako kwenda kusoma harmacy '
Yani hawaviongozi wa ccm wanakuwa kama wame lazimishwa kuiogoza hiinchi