Chadema yakomaa.

Chadema yakomaa.

hivi siku 14 zinamalizika lini huyu Zito apatiwe stahiki yake? nasubiri matokeo kwa hamu huku Kinana zangu mbili za baridi zinanisubiri.

CC: Tiba
 
Last edited by a moderator:
Hawana cha kumfanya siku 14 zilishaisha jawana la kumfanya
 
Hawana cha kumfanya siku 14 zilishaisha jawana la kumfanya

Siku 14 alipewa Zitto sasa wewe kinachokuwasha nini? Ukipenda muulize Zitto kama amejibu hizo tuhuma zake sio kuja hapa JF kubwabwaja.

Tiba
 
Nguvu wanazotumia ccm hawatafaniiwa kamwe! Chadema ni mpango wa Mungu dhidi ya wa Tanzania...watashindana hawatashinda kamwe.
 
Tanzania daima hivi hili gazeti la mbowe?du Policcm ndio wamemwokoa slaa na kichapo kutoka wana chadema kigoma mara hii tena ccm wanagharamia kichapo! Du ngumu kuamini
 
wananchi wote wanafahamu kwamba chadema ndiyo mkombozi wao pekee aliyebaki , WARID KABURU mtu aliyejengwa kwa udongo wa chadema hana uwezo wa kuivunja cdm , elimu yake yote inateteketea kwa tamaa za kijinga .
 
Back
Top Bottom