PreGE2025 CHADEMA yaita watia nia wa Ubunge Nchi nzima kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama Mikocheni

PreGE2025 CHADEMA yaita watia nia wa Ubunge Nchi nzima kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Chama Mikocheni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,286
Reaction score
271,519
Watu wengi wenye upeo wa chini ambao wengi ni wanaccm (sababu zinafahamika) wanadhani kampeni ya No Reform No Election ni mpango wa Chadema kususia Uchaguzi.

Ukweli ni kwamba jambo hili si kususia uchaguzi, bali ni kuzuia kufanyika kwa uchaguzi ikiwa hakutakuwa na marekebisho ya utaratibu uliopo wa Uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ndio maana Chadema imetangaza kuwaita Watia nia wake wote wa Ubunge ili kuwaelimisha mambo kadhaa, Chadema inaamini kwamba Reforms zitafanyika ili kuwezesha uchaguzi huru na haki na hasa baada ya juhudi zao za kwenda huku na kule ili kuweka shinikizo la maboresho hayo.

Taarifa yao hii hapa

Screenshot_2025-03-27-19-30-59-1.png
 
Screenshot_20250327-230701.jpg

Kama kawaida, baada ya Tonetone kufeli sasa wanakamua watia nia. Taarifa za ndani zinasema wagombea urais wanapaswa kuchangia kwa lazima Tsh 5,000,000 (Milioni 5), wa ubunge 3,000,000 (milioni 3) na wa udiwani milioni 1.
Hii ni kwa sababu bila Mbowe chama hakina fedha. Watia nia wengi waliokuwa wameishatangaza nia ndani ya chama wanasema hawatakeenda kwenye kikao maana hata hivyo mwenyekiti Lissu anasema hapatakuwa na uchaguzi.
 
View attachment 3285318
Kama kawaida, baada ya Tonetone kufeli sasa wanakamua watia nia. Taarifa za ndani zinasema wagombea urais wanapaswa kuchangia kwa lazima Tsh 5,000,000 (Milioni 5), wa ubunge 3,000,000 (milioni 3) na wa udiwani milioni 1.
Hii ni kwa sababu bila Mbowe chama hakina fedha. Watia nia wengi waliokuwa wameishatangaza nia ndani ya chama wanasema hawatakeenda kwenye kikao maana hata hivyo mwenyekiti Lissu anasema hapatakuwa na uchaguzi.
Itakuwa kuna shimo mwilini mwako halipo sawa, labla kutokana na matumizi mabovu ya shimo hilo.
 
Watu wengi wenye upeo wa chini ambao wengi ni wanaccm (sababu zinafahamika) wanadhani kampeni ya No Reform No Election ni mpango wa Chadema kususia Uchaguzi.

Ukweli ni kwamba jambo hili si kususia uchaguzi, bali ni kuzuia kufanyika kwa uchaguzi ikiwa hakutakuwa na marekebisho ya utaratibu uliopo wa Uchaguzi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Ndio maana Chadema imetangaza kuwaita Watia nia wake wote wa Ubunge ili kuwaelimisha mambo kadhaa, Chadema inaamini kwamba Reforms zitafanyika ili kuwezesha uchaguzi huru na haki na hasa baada ya juhudi zao za kwenda huku na kule ili kuweka shinikizo la maboresho hayo.

Taarifa yao hii hapa

View attachment 3285286
Khenani ana mnyoosha dikteta uchwara mpaka wameamua kuwaita wawapige mkwara!
 
View attachment 3285318
Kama kawaida, baada ya Tonetone kufeli sasa wanakamua watia nia. Taarifa za ndani zinasema wagombea urais wanapaswa kuchangia kwa lazima Tsh 5,000,000 (Milioni 5), wa ubunge 3,000,000 (milioni 3) na wa udiwani milioni 1.
Hii ni kwa sababu bila Mbowe chama hakina fedha. Watia nia wengi waliokuwa wameishatangaza nia ndani ya chama wanasema hawatakeenda kwenye kikao maana hata hivyo mwenyekiti Lissu anasema hapatakuwa na uchaguzi.
unamwaga chozi ukiwa wapi?
 
View attachment 3285318
Kama kawaida, baada ya Tonetone kufeli sasa wanakamua watia nia. Taarifa za ndani zinasema wagombea urais wanapaswa kuchangia kwa lazima Tsh 5,000,000 (Milioni 5), wa ubunge 3,000,000 (milioni 3) na wa udiwani milioni 1.
Hii ni kwa sababu bila Mbowe chama hakina fedha. Watia nia wengi waliokuwa wameishatangaza nia ndani ya chama wanasema hawatakeenda kwenye kikao maana hata hivyo mwenyekiti Lissu anasema hapatakuwa na uchaguzi.
Wewe ndio huyo kwenye Avator? Unafanana na akili zako
 
Narudia, ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!
 
Back
Top Bottom