CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,529
HATIMAYE CHADEMA TAWI LA CHUO KIKUU CHA DODOMA WAMEFANIKIWA KUPATA SAFU MPYA YA UONGOZI.
Siku zote katika nchi yenye mfumo wa vyama vingi siasa huruhusiwa kwa watu wote, isipokuwa tu kunapokuwa na ukiukwaji wa taratibu na katiba.
Uongozi mpya uliojipambanua kama mtetezi wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma ni kama ifuatavyo.
1.SAMSON CHACHA-MWENYEKITI
2.YOHANA BAYO-KATIBU
3.NEEMA JULIUS-MWENYEKITI BAWACHA
4.MS. ANNA-KATIBU BAWACHA
5.ELISANTE KIMARO-MWENYEKITI BAVICHA
6.JULIUS HARWELI-KATIBU MWENEZI
7.PETER FABIAN-KATIBU BAVICHA.
Safu hii mpya imechaguliwa siku ya jumapili katika uchaguzi uliofanyika katika ofisi za Ngong"onha CHADEMA UDOM.
-Maalim Mussa ndiye Mwenyekiti mstaafu na amewatakia mafanikio mema viongozi wapya.
Siku zote katika nchi yenye mfumo wa vyama vingi siasa huruhusiwa kwa watu wote, isipokuwa tu kunapokuwa na ukiukwaji wa taratibu na katiba.
Uongozi mpya uliojipambanua kama mtetezi wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma ni kama ifuatavyo.
1.SAMSON CHACHA-MWENYEKITI
2.YOHANA BAYO-KATIBU
3.NEEMA JULIUS-MWENYEKITI BAWACHA
4.MS. ANNA-KATIBU BAWACHA
5.ELISANTE KIMARO-MWENYEKITI BAVICHA
6.JULIUS HARWELI-KATIBU MWENEZI
7.PETER FABIAN-KATIBU BAVICHA.
Safu hii mpya imechaguliwa siku ya jumapili katika uchaguzi uliofanyika katika ofisi za Ngong"onha CHADEMA UDOM.
-Maalim Mussa ndiye Mwenyekiti mstaafu na amewatakia mafanikio mema viongozi wapya.