JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
CHADEMA Kimeigalaza CCM kwenye uchaguzi mdogo wa M/kiti wa Kitongoji cha NYAMIRENDE kijiji cha OMOCHE kata ya NYAHONGO wilaya ya RORYA! Uchaguzi ulifanyika juzi na matokeo yalikuwa kama yafuatayo:
CHADEMA 146.
CCM 62.
Tofauti ya kura 84 kwa ngazi ya kitongoji si haba!
Taarifa nyingine kutoka kijiji cha MANYANYI kata ya NYAHONGO wilaya RORYA ni kuwa M/kiti wa kijiji hicho kilichopo mwambao wa ziwa victoria amepigwa chini kwa kura ya kutokuwa na imani naye kupitia kwa wajumbe wa kijiji na kijiji kukabidhiwa kwa Kamanda wa CHADEMA hadi uchaguzi utakapofanyika muda wowote tangu sasa. M/kiti huyo wa kijiji alikuwa ni wa CCM na ametimuliwa kutokana na kuhujumu na kuchakachua mapato ya kijiji yanayotokana na shughuli zao za uvuvi.
Ahsanteni wadau!
CHADEMA 146.
CCM 62.
Tofauti ya kura 84 kwa ngazi ya kitongoji si haba!
Taarifa nyingine kutoka kijiji cha MANYANYI kata ya NYAHONGO wilaya RORYA ni kuwa M/kiti wa kijiji hicho kilichopo mwambao wa ziwa victoria amepigwa chini kwa kura ya kutokuwa na imani naye kupitia kwa wajumbe wa kijiji na kijiji kukabidhiwa kwa Kamanda wa CHADEMA hadi uchaguzi utakapofanyika muda wowote tangu sasa. M/kiti huyo wa kijiji alikuwa ni wa CCM na ametimuliwa kutokana na kuhujumu na kuchakachua mapato ya kijiji yanayotokana na shughuli zao za uvuvi.
Ahsanteni wadau!