Matusi, kejeli na upeo mdogo wa viongozi wa sasa CCM ni petroli ya Moto wa mabadiriko nchini! CCM Badala ya kusimamia kero za wananchi wanazunguka kutukana matusi na kuhoiji hata Elimu za watu ambao Watanzania tuna waona ni Nuru kama Mnyika. Badala ya Kulinda Usalama wa rais wamegeuka watoa rambirambi, badala ya kuendeleza Technolojia watakakuzuia hata hii ndogo tulionayo eti watu washindwe hata kuona TV live. 2015 CCM pumzikeni, kaeni pembeni msome mchezo wa jinsi ya kuongoza nchi Mungu akiwajalia Mrudi 2035.