Chadema yaibomoa vibaya ccm


kama maandamano hayatawatoa CCM, sasa mbona kuanzia mwenyekiti wenu analalamika na kila mbunge na wakuu wa mikoa na kila aina ya NGO za CCM mnalalamika?
 
EL ndiye atakaye ivunja vipande vipande , bwana NDIBALEMA YOU ARE VERY RIGHT, unajua humu jamvini kuna watu wana sumu ya CCM hawawezi kusoma hata upepo wa siasa na kuona alama za nyakati, wanapambana ndani na nje ya chama wataweza ?
 
History is the best lesson. CHADEMA wakishindwa CCM itapambana na wananchi hasa vijana waliopigika. Unajua hili?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…