CHADEMA yachangiwa mamilioni

Mapato na matumizi yatatolewa kwa wananchi kupitia mikutano zitakazokuwa zinafanyika, either kupitia STARTV ama mikutano ya moja kwa moja.
Chadema nawapongeza kwa harambee yenu mliyofanya Arusha, cha msingi ni kufahamishwa matumizi ya michango yenu imetumikaje.
 
Chadema nawapongeza kwa harambee yenu mliyofanya Arusha, cha msingi ni kufahamishwa matumizi ya michango yenu imetumikaje.

hata ilivyoanza opareshen sangara mlikuwa mnakebehi hivi hivi. Mlivyokosa majimbo yote ya shinyanga ndipo mkajua umuhimu wake. Thanks to teachers vijana wanaoendelea kutoa elimu ya kujitambua kwa wanafunzi.
 
Mapato na matumizi yatatolewa kwa wananchi kupitia mikutano zitakazokuwa zinafanyika, either kupitia STARTV ama mikutano ya moja kwa moja.

Kuna thread imeanzishwa wanasema Chadema wamepata mil 150 ni kweli?
 
Chadema nawapongeza kwa harambee yenu mliyofanya Arusha, cha msingi ni kufahamishwa matumizi ya michango yenu imetumikaje.

harambee ilikua kwaajili ya kupata kupata pesa ya kusaidia kutoa elimu ya uraia kwa wananchi kuanzia taifa,mkoa,wilaya,mpaka kitongoji juu ya katiba mpya ikienda sambamba na ufunguzi wa ofisi za chama kila kata nchi nzima.
 
Tutachanga mpaka Magamba wahame inchi hii.CHADEMA M4C Towards the next presidencial race 2015
 

hapo kwenye red umeharibu mtiririko mzuri wa mada yako kwani hapo panahitaji dk. Slaa atuambie kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi angalau kuongeza nguvu kwenye ukweli wa tuhuma hizi.
 
Harambee imeonyesha mwanzo mzuri kwa CDM kuongeza mapato yake lakini wasiwakamue sana wananchi bado hali yao ni maskini wamepigika
 
Kuna thread imeanzishwa wanasema Chadema wamepata mil 150 ni kweli?

Ndiyo. Nimethibitisha toka Katibu Mkuu, Dr Slaa, kwamba michango iliyotolewa pale pale ukumbini ilifikia zaidi ya TSh. 150m. Bado kukisia na kupokea zilizoahidiwa katika Mtandao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…