CHADEMA yaanzisha operesheni ondoa msaliti

Msaliti namba moja ni Mbowe, alitusaliti wana mabadiliko na kuuza chama kwa fisadi Lowasa

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Si kweli Tanzania tuna Fisadi Magufull tu ambaye amehamishia paton la taifa Chato
 
Toba yarabi maulana!
Kubenea ni zaidi ya Shilole kwa mujibu wa shutuma hizo.
 
Hivi mnapigania Katiba ya wananchi na akina LOWASA na KINGUNGE?
Ile ya UKUTA profesa aliita ukuta wenyewe ulikuwa wa BISCUTI - UKAWASHINDA
Huu wa MPINGO wa UNYAMWEZI mtauweza?
 
Wanacheza mziki wa sisiemu taratiiibu, sisiemu wanatisha sana, hivi tactician wao mkuu ni nani?? Jamaa akiamua wacheze sindimba chadema bila kuumiza kichwa wanaingia mazima, akibadili biti la mchiriku masela wa chadema hao, dah!!
....siasa na muzikiii acha kelele cheza muzikiii uuuwiiiiiiiiiii...........
Mpaka 2021 akili zikiwarudi treni itakuwa mbali sana!
 
Wanacheza mziki wa sisiemu taratiiibu, sisiemu wanatisha sana, hivi tactician wao mkuu ni nani?? Jamaa akiamua wacheze sindimba chadema bila kuumiza kichwa wanaingia mazima, akibadili biti la mchiriku masela wa chadema hao, dah!!
....siasa na muzikiii acha kelele cheza muzikiii uuuwiiiiiiiiiii...........
Mpaka 2021 akili zikiwarudi treni itakuwa mbali sana!
 
msijaribu ngosha jamani fanyani kazi acheni hizi habari za maandamano yalisha pitwa na wakati hizi zama nyingine jamaani haya mtakumbuka maneno yangu.
 
Ikiwa mtu unahisi una akili timamu alafu hizo akili zinakusukuma kushangilia upuuzi huu unaoitwa OMB, nenda hospitali haraka yawezekana ujitambui.
 
Wanaochochea mgogoro wa CUF ni ccm na CDM kwa maslai yao.

Endeleeni kuibomoa CUF tu ili mvune wanachama wao.
 
Eti vyama vinavyounda UKAWA ...vipi hivyo? CUF ndio hiyo mnaipigania isife then vinabaki vyama gani hai nje ya Chadema? Hili koti la UKAWA ni ujanja ujanja mwingine wa kupotezeana muda ....
 
Natafakari tu. Chama cha siasa chenye ofisi zake ufipa kinondoni, kinafungaje safari kwenda kujishughulisha na mwenyekiti wa chama kingine kilichoko buguruni? Hivi hii operation ikitafsiriwa ni uvamizi na wizi kupelekea kosa la jinai, kukamatwa na polisi na kufunguliwa mashitaka itakuwa ni makosa? ushauri
Chadema waendesheshe siasa zao kama chama na waachane na CUF, na njia bora ya kumsaidia maalim ni kuanzisha chama kingine na kukisajili ili kama yeye ndiye anaekubalika basi cuf-lipmba na cu-seif viunde chama kipya chenye nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…