Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 873
Tumekupata mkuu. Tupo pamoja.
Mtu akikushawishi uichague chadema sema baabaa aaapeeeendiii!
Ila akikwambia mchague John Mnyika sema hapo ndipo peenyeewee
Naomba niongeze na Dk Slaa, Zitto, Tindu Lissu, na Dr Kitila kama kama atajitokeza.
Wote hao wanatarajia kugombea Mkuu..Ila Kitilla hagombei mwaka huu..
Imenisikitisha hii, nadhani Dr badala ya kukaa nje alipaswa kuingia uwanjani.