CHADEMA ya leo ni sawa na Mrema wa 1995

CHADEMA ya leo ni sawa na Mrema wa 1995

Naipendatz

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2011
Posts
5,091
Reaction score
8,243
Kama kuna kosa kubwa ambalo watanzania tungelijutia basi ni kumchagua Mrema kuwa raisi 1995, sijui hii nchi leo hii ingekuwa wapi. Kosa hilo tuliloliepuka 1995 tuliepuke tena mwaka huu, sioni mtu ndani ya UKAWA mwenye sifa stahiki kuliongoza taifa hili. Wote ni wasaka tonge tu. Mtu pekee mwenye uwezo wa kuongoza hii nchi kwa sasa ni SAS
 
Ndani ya ccm nani mwenye sifa za kugombea uraisi ?endeleeni kujipa moyo huu ndo mwaka wa mwisho utawala wa ccm.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
SAS ni nini?
Au ni Kampuni ya usafirishaji?
 
Hakuna Mkuu kumejaa wezi, mafisadi, wapokea rushwa, majangili, wauza unga na magaidi. Hakuna hata mmoja mwenye sifa ya kuitwa Rais wa Tanzania.

Ndani ya ccm nani mwenye sifa za kugombea uraisi ?endeleeni kujipa moyo huu ndo mwaka wa mwisho utawala wa ccm.
 
Kama kuna kosa kubwa ambalo watanzania tungelijutia basi ni kumchagua Mrema kuwa raisi 1995, sijui hii nchi leo hii ingekuwa wapi. Kosa hilo tuliloliepuka 1995 tuliepuke tena mwaka huu, sioni mtu ndani ya UKAWA mwenye sifa stahiki kuliongoza taifa hili. Wote ni wasaka tonge tu. Mtu pekee mwenye uwezo wa kuongoza hii nchi kwa sasa ni SAS
Usijali. Hakuna cha ukawa wala chadema kuingia ikulu. Na si mwaka huu tu hata 2020 hawanusi.
 
Wakati mwingine mnajitoa akili sijui sababu ya nini. Unamlinganisha Mh. A. Mrema na CDM kwavigezo vipi? Mrema ni mtu CDM ni taasisi. Bora hata ungeilinganisha NCCR-Mageuzi ya enzi ya Mrema nahoja yako ukaijenga hapo. Kwa kuanzisha mada kama hizi zaidi ya kujidharirisha mnaambulia aibu na fedheha. Inaniuma sana maana wewe ni mtz mwenzangu hata kama mlengo na itikadi ni tofauti. Aibu yako ni aibu yangu. USHAURI- "Usiwe kidaka tonge".
 
Mbona Naipendatz amekimbia kama mwoga nje? Hakuwa na ubavu wa kujibu hoja hata moja?
Nilitaka kumwambia kuwa ndoto huwezi kuitawala!!!
 
Kama kuna kosa kubwa ambalo watanzania tungelijutia basi ni kumchagua Mrema kuwa raisi 1995, sijui hii nchi leo hii ingekuwa wapi. Kosa hilo tuliloliepuka 1995 tuliepuke tena mwaka huu, sioni mtu ndani ya UKAWA mwenye sifa stahiki kuliongoza taifa hili. Wote ni wasaka tonge tu. Mtu pekee mwenye uwezo wa kuongoza hii nchi kwa sasa ni SAS

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Mwenye uwezo wa kuongoza nchi ni wewe. Ugombee Urais October, kwa tiketi ya CCM tutakupa kura mkuu! Kazi ni kwako
 
Onyo:kuchanganya gongo na viroba ni hatari kwa akili yako,tafadhari kunywa kistaarabu!!!
 
Kama kuna kosa kubwa ambalo watanzania tungelijutia basi ni kumchagua Mrema kuwa raisi 1995, sijui hii nchi leo hii ingekuwa wapi. Kosa hilo tuliloliepuka 1995 tuliepuke tena mwaka huu, sioni mtu ndani ya UKAWA mwenye sifa stahiki kuliongoza taifa hili. Wote ni wasaka tonge tu. Mtu pekee mwenye uwezo wa kuongoza hii nchi kwa sasa ni SAS
Hebu onyesha hatari za wakati ule kama Mrema angetawala kupitia NCCR na pia usisahau kuonyesha mafanikio tuliyopata chini ya ccm, wakati unafanya hiyo analysis yako kumbuka na scandal zote za kifisadi zilizotokea, pia usisahau mikataba yote ya kifisadi inayotutesa mpaka leo, ufafanue kama haikuwa makosa au la kuirudisha ccm madarakani.
 
Mtoa mada ana mtindio wa akili na ni kati ya watu waliodumaa akili. We need changes! Period
 
Acha Kudanganya Watu, Nani Asiejua Mrema Alikuwa Ni Ccm? Nani Asiejua Mrema Alikuwa Mtu, Na Chadema Ni Taacc? Na Ndio Maana Hata Unapoandika Umetumia Mrema Na Chadema Kuonyesha Utofauti, Kwa Taalifa Tu Ni Kwamba Nyerere Aliposhinikizwa Na Nchi Za Maghalibi Kuanzisha Vyama Vingi, Ndipo Akamtuma Mrema Ili Aonekane Ni Mpinzani, Kumbuka Walitishia Kuzuia Misaada Endapo Asingefanya Hivyo, Na Kumbuka Mrema Alikuwa Wazili Wa Ulinzi Na Naibu Waziri Mkuu Cheo Ambacho Hakijawaikushikwa Na Mtu Mwingine, Alipoone Nccr Inanguvu Akahama Ili Kuua Nguvu Ya Upinzani, Ambapo Mfumo Waliotumia Ndio Waliotumia Kwa Zzk,
 
Back
Top Bottom