Ni katika muendelezo wa harakati za kuingia Ikulu ambapo mh.john John Mnyika anatarajia kufanya mkutano mkubwa katika halmashauri ya mji mdogo wa ITIGI uliopo Singida,kamanda mnyika ataambatana na makamanda wa Mkoa wa Singida tarehe 26/4/2015 siku ya Jumapili, hivyo wananchi wote wa Itigi pamoja na viunga vyake mnakaribishwa ili kuwasikiliza watetezi wa taifa ili muweze kupata tumaini jipya.
Tulianza na Mungu,tupo na Mungu na tutaingia Ikulu na Mungu.
CHADEMA kama siafu!. Wanashambulia Tanzania nzima kwa wakati mmoja. Nchi inageuzwa juu chini hadi kule ambako hawajawahi kutembelewa na kiongozi wa kitaifa tangu uwepo wa Tanzania!.
Hadema Tunataka Tumfikie Mtu Kwa Mtu, Huu Moto Ccm Hawauwezi, Mbinu Yao Ya Kuunda Act Imegonga Mwamba, Waangalie Mbinu Nyingine, Kama Wameishiwa Mbinu Wanyoshe Mikono Juu.
Hadema Tunataka Tumfikie Mtu Kwa Mtu, Huu Moto Ccm Hawauwezi, Mbinu Yao Ya Kuunda Act Imegonga Mwamba, Waangalie Mbinu Nyingine, Kama Wameishiwa Mbinu Wanyoshe Mikono Juu.