AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Wenzake wanatumbua pesa za ruzuku ye anahangaika kupiga makelele jukwaani, Huyu jamaa bwana. Hako kacheo alikozawadiwa na wachagga kanampa kiburi , hajui muda si mrefu watamfukuzia mbali, chezea Mtei wewe..!!!
Hatuendi kwa propaganda za lumumba, CHADEMA ni chama imara sana duniani.