CHADEMA watafute mbinu mbadala, Lowassa hataweza kuleta mabadiliko

Jaslaws

JF-Expert Member
May 31, 2011
6,016
5,296
Ni ushauri wangu tu kwa viongozi wa Chadema,nimekua nikisikia tetesi kwamba lowasa atagombea tena urais mwaka 2020,Chadema kama chama wanatakiwa Kutambua kwamba ccm imechokwa sana na wananchi lakini kitendo cha wao kuendelea kumkumbatia lowasa ni kuturudisha nyuma sana.

Ni ukweli usiopingika kwamba juku mitaani watu wengi hawamuamini lowasa,japo sijafanya research maalum lakini ukijaribu kufatilia utaligindua hilo,hasa wanawake na wale wapiga kula wasiofatilia sana mambo ya siasa,
Nawashauri chadema na viongozi wao wajitafakali upya na ikiwezekana hata Huyo mbowe wampige chini tu.

Watu hawana pa kuegemea kwa sababu ya huyo lowasa,kila mtu unae ongea nae anakwambia ccm wametuchosha lakini wapinzani hawaaminiki,watu wanoona ni bora waendelee kuchoshwa na ccm kuliko kuongozwa na watu wasio eleweka.

Chadema wanajua kabisa adui wa uchaguzi wetu ni tume ya uchaguzi na katiba mbovu ,na hivyo ndo vitu vimekuwa vikilalamikiwa na upinzani kila baada ya uchaguzi,lakini cha kushangaza uchaguzi ukiisha hakuna mtu anafanya jitiada za kurekebisha hayo mambo,viongozi wapo tu wanatoa matamko yasiyotekelezeka,nakuhamasisha maandamano yasokuwa na maana.

Nawashauri Chadema waamke ama la sivyo watwambia kama na wao ni mapandikizi ya ccm.

Baada ya Dr slaa kuondoka sikuhizi hata elimu ya uraia huku vijijini hakuna tena,matawi yote yaliisisiwa na Dr slaa yanakufa,watu pekee utakao wakuta kwenye hayo matawi ni wale wanaomendea kugombea uongozi flani yani watu wapo kimaslai tu,Katibu mkuu wa sasa nae yupo yupo tu.

Tunaitaka Chadema ya kipindi kile mtu akitoa tamko serikali wanatikisika kweli sio Chadema hii inayokuja na operesheni mbuzi zisizo tekelezeka,Mara oparesheni "Kata funua" Mara sijui oparesheni "ukuta" ujinga mtupu ,mnatuchosha.

Amnatucho shamandamano yenye tija maandamano ya kudai tume huru ya uchaguzi au maandamano ya kudai katiba Mpya muone kama hamtaugwa mkono na kila mpenda democrasia duniani.

Chadema na mbowe mnatuchosha isingekuwa tamaa zenu sahizi upinzani ungekuwa ikulu na haya mashida masimango,njaa,matusi na machungu yote tunayoyapata yasingekuwepo.
 
Lowassa ndio mmiliki halali wa chadema sasa wewe unaongea nini mkuu,?

Hili suala tunawambia kila siku. Kubenea amejaribu kuwafumbua macho juu ya kile kinachoendelea hapo chadema kwenye lilie sakata la Ben, laini ninyi mmeendelea kuwa nyumbu kwa kumwita kilaza sasa mnataka msaidiweje,
 
Lowassa ndio mmiliki halali wa chadema sasa wewe unaongea nini mkuu,?

Hili suala tunawambia kila siku. Kubenea amejaribu kuwafumbua macho juu ya kile kinachoendelea hapo chadema kwenye lilie sakata la Ben, laini ninyi mmeendelea kuwa nyumbu kwa kumwita kilaza sasa mnataka msaidiweje,


CCM mmepata addiction ya Lowassa msipotaja jina la Lowassa hamuwezi kushinda vizuri.
 
Ni ushauri wangu tu kwa viongozi wa Chadema,nimekua nikisikia tetesi kwamba lowasa atagombea tena urais mwaka 2020,Chadema kama chama wanatakiwa Kutambua kwamba ccm imechokwa sana na wananchi lakini kitendo cha wao kuendelea kumkumbatia lowasa ni kuturudisha nyuma sana,
Ni ukweli usiopingika kwamba juku mitaani watu wengi hawamuamini lowasa,japo sijafanya research maalum lakini ukijaribu kufatilia utaligindua hilo,hasa wanawake na wale wapiga kula wasiofatilia sana mambo ya siasa,
Nawashauri chadema na viongozi wao wajitafakali upya na ikiwezekana hata Huyo mbowe wampige chini tu,
Watu hawana pa kuegemea kwa sababu ya huyo lowasa,kila mtu unae ongea nae anakwambia ccm wametuchosha lakini wapinzani hawaaminiki,watu wanoona ni bora waendelee kuchoshwa na ccm kuliko kuongozwa na watu wasio eleweka
Chadema wanajua kabisa adui wa uchaguzi wetu ni tume ya uchaguzi na katiba mbovu ,na hivyo ndo vitu vimekuwa vikilalamikiwa na upinzani kila baada ya uchaguzi,lakini cha kushangaza uchaguzi ukiisha hakuna mtu anafanya jitiada za kurekebisha hayo mambo,viongozi wapo tu wanatoa matamko yasiyotekelezeka,nakuhamasisha maandamano yasokuwa na maana.
Nawashauri Chadema waamke ama la sivyo watwambia kama na wao ni mapandikizi ya ccm,

Baada ya Dr slaa kuondoka sikuhizi hata elimu ya uraia huku vijijini hakuna tena,matawi yote yaliisisiwa na Dr slaa yanakufa,watu pekee utakao wakuta kwenye hayo matawi ni wale wanaomendea kugombea uongozi flani yani watu wapo kimaslai tu,Katibu mkuu wa sasa nae yupo yupo tu,
Tunaitaka Chadema ya kipindi kile mtu akitoa tamko serikali wanatikisika kweli sio Chadema hii inayokuja na operesheni mbuzi zisizo tekelezeka,Mara oparesheni "Kata funua" Mara sijui oparesheni "ukuta" ujinga mtupu ,mnatuchosha.
Amnatucho shamandamano yenye tija maandamano ya kudai tume huru ya uchaguzi au maandamano ya kudai katiba Mpya muone kama hamtaugwa mkono na kila mpenda democrasia duniani,
Chadema na mbowe mnatuchosha isingekuwa tamaa zenu sahizi upinzani ungekuwa ikulu na haya mashida masimango,njaa,matusi na machungu yote tunayoyapata yasingekuwepo.
we acha unafiki elimu ya urai kwa ruhusa ipi watu wamefungwa mdomo,mikono,alafu unaleta story mfu
 
Ni ushauri wangu tu kwa viongozi wa Chadema,nimekua nikisikia tetesi kwamba lowasa atagombea tena urais mwaka 2020,Chadema kama chama wanatakiwa Kutambua kwamba ccm imechokwa sana na wananchi lakini kitendo cha wao kuendelea kumkumbatia lowasa ni kuturudisha nyuma sana,
Ni ukweli usiopingika kwamba juku mitaani watu wengi hawamuamini lowasa,japo sijafanya research maalum lakini ukijaribu kufatilia utaligindua hilo,hasa wanawake na wale wapiga kula wasiofatilia sana mambo ya siasa,
Nawashauri chadema na viongozi wao wajitafakali upya na ikiwezekana hata Huyo mbowe wampige chini tu,
Watu hawana pa kuegemea kwa sababu ya huyo lowasa,kila mtu unae ongea nae anakwambia ccm wametuchosha lakini wapinzani hawaaminiki,watu wanoona ni bora waendelee kuchoshwa na ccm kuliko kuongozwa na watu wasio eleweka
Chadema wanajua kabisa adui wa uchaguzi wetu ni tume ya uchaguzi na katiba mbovu ,na hivyo ndo vitu vimekuwa vikilalamikiwa na upinzani kila baada ya uchaguzi,lakini cha kushangaza uchaguzi ukiisha hakuna mtu anafanya jitiada za kurekebisha hayo mambo,viongozi wapo tu wanatoa matamko yasiyotekelezeka,nakuhamasisha maandamano yasokuwa na maana.
Nawashauri Chadema waamke ama la sivyo watwambia kama na wao ni mapandikizi ya ccm,

Baada ya Dr slaa kuondoka sikuhizi hata elimu ya uraia huku vijijini hakuna tena,matawi yote yaliisisiwa na Dr slaa yanakufa,watu pekee utakao wakuta kwenye hayo matawi ni wale wanaomendea kugombea uongozi flani yani watu wapo kimaslai tu,Katibu mkuu wa sasa nae yupo yupo tu,
Tunaitaka Chadema ya kipindi kile mtu akitoa tamko serikali wanatikisika kweli sio Chadema hii inayokuja na operesheni mbuzi zisizo tekelezeka,Mara oparesheni "Kata funua" Mara sijui oparesheni "ukuta" ujinga mtupu ,mnatuchosha.
Amnatucho shamandamano yenye tija maandamano ya kudai tume huru ya uchaguzi au maandamano ya kudai katiba Mpya muone kama hamtaugwa mkono na kila mpenda democrasia duniani,
Chadema na mbowe mnatuchosha isingekuwa tamaa zenu sahizi upinzani ungekuwa ikulu na haya mashida masimango,njaa,matusi na machungu yote tunayoyapata yasingekuwepo.
Wapinzani nchini wanategemea kupewa ruzuku ya kuendeshea vyama hivyo kutoka kwa serikali, na wewe unaamini kwamba vyama hivyo vitaiondoa serikali inayowagawia ruzuku? Hakuna chama cha upinzani nchini vyote hivyo ni matawi ya utawala wa ccm ili kuwagawa wananchi na kuweza kuwatawala vizuri, chungulia kwa makini utagundua hilo.
 
Lowassa ndio mmiliki halali wa chadema sasa wewe unaongea nini mkuu,?

Hili suala tunawambia kila siku. Kubenea amejaribu kuwafumbua macho juu ya kile kinachoendelea hapo chadema kwenye lilie sakata la Ben, laini ninyi mmeendelea kuwa nyumbu kwa kumwita kilaza sasa mnataka msaidiweje,
msiye mpenda ndo chaguo kama afai si mkae kimya ili chaguzi zijazo mpite bwelele kelele za nini
 
Alijaza juzi mafuriko kahama kwenye uchaguzi mdogo wakampa promo ya kuwa wanachukua kata hebu waulize kilichowakuta wanaanza kusingizia wameibiwa
Mkuu kwenye ule uzi wa Edward lowasa alipo kuwa kahama na mimi nilicoment nikawambia hakuna watu wanonko kama kanda ya ziwa, yaani kanda ya ziwa kabisa hapana aisee bora hata uwaelimishe watu wa kanda ya kati labda utapata hata kura 10 kuliko huko kwa ngosha.
 
Hakuna upinzani hapo! Nilikujakugundua kuwa hao jamaa hawana wanachohitaji baada ya kumkaribisha Lowasa na kuanza kusalitiana wenyewe.Tena watanzania waliwaamini sana hata wakapiga kura zote zile.Hali ikiendelea hivi ya kumwona Lowasa Mungu pale 2020 itakuwa chungu sana kwa chadema.
 
Rhobi1961 mimi nilikoment niwaambia watu wa kanda ya ziwa ni watu wenye misimamo yao tu akianza kusema mmoja hii nyeupe wote wanaitikia nikawatolea mfasno hai kabisa 1995 Mrema alikuwa hakamatiki watu wa kanda ya ziwa wanasukuma gari la mheshimiwa wanatandika nguo barabarani apite hebu muulize kilichomsibu huyu mwingine mpaka wakamdekia barabara kilichomkuta anakijua mwenyewe
 
CCM mmepata addiction ya Lowassa msipotaja jina la Lowassa hamuwezi kushinda vizuri.
Mkuu hili sio swala la kuwa addicted na lowasa,sio siri lowasa anakiua chama watu wanachoshwa nae,watu wa vijijini ambao ndo wapiga kula hawamuamini hata kidogo..nguvu za kumnadi lowasa ni kubwa mna kuliko siasa zenyewe..!
 
Baada ya ushindi wa kijimbo kimoja na hivyo vijikata kwa msaada wa mamluki wenu basi mmeshapata na maono ya Lowassa 2020 subirini mziki wake kajaribu kuzunguka kidogo tu dola na serikali kiwewe hata wewe ni kiwewe tu kinakusumbua unaomba apungue ili mpumue sorry umechelewa kuwaza
 
Ni ushauri wangu tu kwa viongozi wa Chadema,nimekua nikisikia tetesi kwamba lowasa atagombea tena urais mwaka 2020,Chadema kama chama wanatakiwa Kutambua kwamba ccm imechokwa sana na wananchi lakini kitendo cha wao kuendelea kumkumbatia lowasa ni kuturudisha nyuma sana,
Ni ukweli usiopingika kwamba juku mitaani watu wengi hawamuamini lowasa,japo sijafanya research maalum lakini ukijaribu kufatilia utaligindua hilo,hasa wanawake na wale wapiga kula wasiofatilia sana mambo ya siasa,
Nawashauri chadema na viongozi wao wajitafakali upya na ikiwezekana hata Huyo mbowe wampige chini tu,
Watu hawana pa kuegemea kwa sababu ya huyo lowasa,kila mtu unae ongea nae anakwambia ccm wametuchosha lakini wapinzani hawaaminiki,watu wanoona ni bora waendelee kuchoshwa na ccm kuliko kuongozwa na watu wasio eleweka
Chadema wanajua kabisa adui wa uchaguzi wetu ni tume ya uchaguzi na katiba mbovu ,na hivyo ndo vitu vimekuwa vikilalamikiwa na upinzani kila baada ya uchaguzi,lakini cha kushangaza uchaguzi ukiisha hakuna mtu anafanya jitiada za kurekebisha hayo mambo,viongozi wapo tu wanatoa matamko yasiyotekelezeka,nakuhamasisha maandamano yasokuwa na maana.
Nawashauri Chadema waamke ama la sivyo watwambia kama na wao ni mapandikizi ya ccm,

Baada ya Dr slaa kuondoka sikuhizi hata elimu ya uraia huku vijijini hakuna tena,matawi yote yaliisisiwa na Dr slaa yanakufa,watu pekee utakao wakuta kwenye hayo matawi ni wale wanaomendea kugombea uongozi flani yani watu wapo kimaslai tu,Katibu mkuu wa sasa nae yupo yupo tu,
Tunaitaka Chadema ya kipindi kile mtu akitoa tamko serikali wanatikisika kweli sio Chadema hii inayokuja na operesheni mbuzi zisizo tekelezeka,Mara oparesheni "Kata funua" Mara sijui oparesheni "ukuta" ujinga mtupu ,mnatuchosha.
Amnatucho shamandamano yenye tija maandamano ya kudai tume huru ya uchaguzi au maandamano ya kudai katiba Mpya muone kama hamtaugwa mkono na kila mpenda democrasia duniani,
Chadema na mbowe mnatuchosha isingekuwa tamaa zenu sahizi upinzani ungekuwa ikulu na haya mashida masimango,njaa,matusi na machungu yote tunayoyapata yasingekuwepo.
Sina Usingizi !!!!!! - LOWASA.jpg





 

Attachments

  • Utavaa nini - Copy.jpg
    Utavaa nini - Copy.jpg
    9 KB · Views: 52
  • Akili inagoma.jpg
    Akili inagoma.jpg
    24.6 KB · Views: 38
Baada ya ushindi wa kijimbo kimoja na hivyo vijikata kwa msaada wa mamluki wenu basi mmeshapata na maono ya Lowassa 2020 subirini mziki wake kajaribu kuzunguka kidogo tu dola na serikali kiwewe hata wewe ni kiwewe tu kinakusumbua unaomba apungue ili mpumue sorry umechelewa kuwaza
Kilichonifanya kuandika ni malalamishi ya chadema kuwa yaleyale kila baada ya uchaguzi,na bado baada ya uchaguzi hawayafanyii kazi.
 
Nakumbuka maneno ya sumaye mwaka juzi kabla ya uchaguzi akiwa anahojiwa na tido muhando alisema amehamia ukawa sababu kule hata wakishinda uchaguzi hawawez kuunda serikali,je ukitazama kwa jicho LA tatu kwel ukawa hawawez kuunda serikal hata ikitokea bahat mbaya wakishinda uchaguzi,,, mnajitahid kuwekezabkwa vijana vzr Ila tatzo LA vijana wenyewe busara hawana matusi tu yamewajaa
 
Nakumbuka maneno ya sumaye mwaka juzi kabla ya uchaguzi akiwa anahojiwa na tido muhando alisema amehamia ukawa sababu kule hata wakishinda uchaguzi hawawez kuunda serikali,je ukitazama kwa jicho LA tatu kwel ukawa hawawez kuunda serikal hata ikitokea bahat mbaya wakishinda uchaguzi,,, mnajitahid kuwekezabkwa vijana vzr Ila tatzo LA vijana wenyewe busara hawana matusi tu yamewajaa
Sio kweli
 
Back
Top Bottom