CHADEMA washinda uchaguzi DUCE

CHADEMA washinda uchaguzi DUCE

unayedhani walio duce ni waliopata grade kidogo,hauko sahihi.mimi form six nina one ya 6,na nimesoma baccalaurate in philosophy urbaniana university of rome.sasa nasoma ualimu duce.you are certainly wrong
 
Hii ni nzuri maana chama kinaanza kujijenga ndani ya wasomi hii ni hatua moja ya muhimu baada ya hapo tuhamie vyuo vyote na kuchukua nafasi yetu wana CDM
 
Nawashangaa hawa wanafunzi badala ya kufuata kilichowapeleka shule wanakimbilia siasa!

Afadhali hawa wamefikia hapo walipo, je wale wanaokuwa indoctrinated toka wakiwa chipukizi ? Yaani mtoto anavalishwa kijani akingali anahitaji nepi halafu wewe eti unawashangaa wanachuo !
 
Back
Top Bottom