Ni dhahiri kuwa CHADEMA wamesukiwa mikakati maalum ya kumalizwa kwa kutumia vyombo vya dola yaani Polisi na Mahakama. Kwa sasa ni vema wakafanya vikao vya dharula kujadili hali iliyopo. Pia ni vema wawaonye wabunge wao na wanachama waache kuongea hovyo hovyo kwani CCM wanatafuta loopholes za kuwamaliza. Mie bado nina imani CHADEMA ndiyo chama dola very soon. Lakini ikumbukwe CCM hawako tayari kutoka kirahisi. RIP CCM