Chadema waishiwa sera


Mkuu, mbona hueleweki!
Au unaongea ongea tu. mbona sioni sera hizo sera unazozungumzia? Sasa kesi ya Lema, Mara arusha, mara Tanga, mara meseji, sasa haya yanahusianaje na sera za chadema? nakushauri ndugu yangu kajipange upya
 
Where is my gun?!..
Hawa watu wanaochelewesha mapinduzi mi ninahasira nao naona zimejaa pumba tu!..
 
aliye waambia nchi ni yao peke yao ni nani?? wamepita kwasababu wana vijisenti vya kuhonga.watoto wa wakulima waje CHADEMA tuungane tuwatoe hawa wakoloni weusi.
 
Maneno mengi ya nini tupambanishe cdm wahutubie uwanja wa zamani na ccm uwanja mpya wa taifa dar tuone milango isifungwe watu waje kwa miguu
 

kuwa mwanaume wa kweli, acha kuidanganya nafsi yako.
 
Sasa mikutano yao yote vikapu ndo vingi kuliko watu na Lema ndo mfuatiliaji wa hivyo vikapu mpaka anakosa muda wa kuwahutubia wananchi chezea chd wewe.
haviwahusu!! nyie anavyo dhaifu kajaza fedha alizotoka kuomba marekani na canada
 
Eti wanaohudhuria mikutano ya cdm hawapigi kura! Tunafahamu mbinu za magamba kuiba kura na kubadili matokeo. This time? ...
 
Payrol list za Nape hizi, umelipwa kiasi gani kuja kuandika huu upuuzi!
 

Hao kwenye red mbona wako kwenu huko magamba na mnahamasishana kuvuta?????
Huna hoja kabisa!

Kwa hiyo unakubali kwamba chama chenu kimekuwa cha kifamilia ya viongozi????Bila shaka na wewe ni mmoja wao. Pole hata wana ccm wenyewe wameshabaini maana mie nimepokea sms hiyo toka kwa mwana ccm halisi!
 
Kwa hiyo unataka Mwana Mtoka Pabaya nikusaidiaje?

Mi naona povu tu. Hivi msg zooote unazopokea nyingine za sex, nyingine vichekesho n.k zinajulikana huwa zimetungwa na nani?

mbona ccm huwa wanatuma ujumbe wa kuchangisha hata kwa watu hata wasio kipenda chama cha mabwepande.
 
Last edited by a moderator:
nasikitika sana kuchezea umeme na computa yangu kwa kusoma thread ya kipuuzi kama hii,ila kwa kuwa umestaafu kufikiri ngoja nikuongezee mda kurudi kazini kufikiri.hivi unajua ni uzembe mkubwa sana kuwa kada wa ccm bila kujua kwanini wewe ni kada.ni bora kuishiwa sera na ukatulia kuliko kuendeleza fikra duni mithili ya nyani ambaye hujificha sura pindi amuonapo binaadamu na kuachia sehemu yote ya mwili.cdm haina fikira duni kama wewe,rudi darasani ustuchafulie jamvi wewe,hapa tunataka watu wenye proved info... na si bla bla kama wewe mnuka.....................peoples............m4c.........power.............4ever........vipi zile caller tone za kwenye simu nazo ni za cdm?:A S embarassed::A S embarassed:tazama vizuri.usirudie tena uzembe huu.
 

kabla hata sijasoma comments za wengnei i think u have got a serious head injury juzi mlipopigana huko kanda ya ziwa...ndo maana una hallucinate...advice seek a neural surgeon plus a pysichiatrist..sick gamba mwisho karibu jf
 
The same to you!
 


Sina shaka kila mtu ana akili timamu, huyu anaesema mnawasumbua watu hawafanyi kazi sababu ya mikutano kila kukicha ajaribu kufikiri upya sana sana awatake radhi watu naona kama kashfa vile yaani hawajui wajibu wao au hawatumii akili yao vizuri. Nachoona mimi kama mtu anakwenda kwenye mkutano manake karidhika, na anahitaji kule labda ndipo mahali anatimiza haja za kiu yake. Na kama anayo kazi ya kufanya akaiacha akaenda kushabikia chadema manake anaithamini zaidi ya hicho anachofanya wakati huo. Mbona hausemi hao wanaopigana na viti kwenye chaguzi kuna nini? Kama huko wamenyanyua viti subiri ngazi ya taifa watatoa bastola. Na ufinyu wa mawazo pia kuwa agiza watu waondoke Arusha weaende Tanga, unatumia vigezo gani nadhani ulipata ajali ya ubongo. Wahi hospitali.
 
kazi ya serikali unataka afanye Lema hayo mafungu yaliotengwa yana fanya kazi gani? Peleka wizi wenu huko gamba wewe!!!!!
 
Mwandishi wa hii thread ni Kati ya hawa wafuatao: DICKSON MEMBE, FRED LOWASA, RIDHIWANI KIKWETE, ASHURA HUSSEIN MWINYI, BENY SAMWEL SITA, DEBORA MWANDOSYA, IREN PINDA, FELSTER NDUGAI, CHRISTOFER NDEJEMBI, SHARIFER BILALY, HAWA KIGODA, JUDITH MUKAMA NA JALOME MSEKWA mnata mtutawale milele?
 
Mi napenda ule msemo wa hapa jf kama mtu anakuja na pumba zake anaambiwa kojoa ukalale mi sioni chakumjibu hili gamba
 
wewe una sera gani mbona wao wasiokuwa na sera wanasikilizwa au wananchi wanapenda pumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…