Hisha Sorel
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 192
- 140
Angalia video mpaka mwisho ili kuelewa mtazamo wangu. Mtazamo wako unakaribishwa.
Elewa kwamba mimi si mshabiki wa vyama, bali ni wa maendeleo, ndo maana, mwaka 2015 nilisupport kambi ya UKAWA, ila kwa mwendo wa sasa, nimesuport sera za Rais Magufuli: shangaa sio zote.
Shangaa mafanikio ya uchaguzi wa mwaka 2015, chama cha CHADEMA kimeonekana kupoteza moto. Mpaka ninavyo andika, wabunge wamezidi kuhama chama, pamoja na chaguzi mbali mbali kushindikana.
Ni nini chama kifanye kujioko A: kwenye hii video, nimejaribu, "kiuwepesi", kutaja baadhi ya vitu nionavyo vitakavyo okoa CHADEMA.
TAFADHALI: usi-comment kabla ujaangalia video na kuielewa kiundani: kwani ni vyepesi kupoteza mada.
Elewa kwamba mimi si mshabiki wa vyama, bali ni wa maendeleo, ndo maana, mwaka 2015 nilisupport kambi ya UKAWA, ila kwa mwendo wa sasa, nimesuport sera za Rais Magufuli: shangaa sio zote.
Shangaa mafanikio ya uchaguzi wa mwaka 2015, chama cha CHADEMA kimeonekana kupoteza moto. Mpaka ninavyo andika, wabunge wamezidi kuhama chama, pamoja na chaguzi mbali mbali kushindikana.
Ni nini chama kifanye kujioko A: kwenye hii video, nimejaribu, "kiuwepesi", kutaja baadhi ya vitu nionavyo vitakavyo okoa CHADEMA.
TAFADHALI: usi-comment kabla ujaangalia video na kuielewa kiundani: kwani ni vyepesi kupoteza mada.