CHADEMA wahaha na Mwigulu Nchemba

CHADEMA wahaha na Mwigulu Nchemba

Aman Ng'oma

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
966
Reaction score
537
Kwakweli nimeamini chadema hakuna wenye hoja,hebu fikiria inakuwaje chama kizima kinahangaishwa na kunyimwa usingizi na mtu mmoja tu ambaye ni mbunge machachali Kutoka huko mkoani Singida.Jamaa ni noma akisimama popote iwe jukwaani au bungeni,akizungumza tu hakuna mwenye uwezo wa kuvunjavunja hoja zake.lakini yeye ni fundi sana wa kuvunja hoja za wapinzani na kuoneka dhaifu kabisa. CHADEMA wanabaki wanalialia tu na kutukana.Huyu ni mmoja tu anatetemesha chama kizima cha CHADEMA.

Nadhani kuna umuhimu wa CHADEMA kama chama mkaendelea kujipanga ,jamaa bado hata robo ya mabomu yake kwa hajayalipua.Huyo ndiyo mwigulu bwana,ni shabab anayewanyima usingizi na kuwashughulisha CHADEMA.

Nilikuwa nimekaa na wanachuo wengi sana siku jamaa anapangua hoja za CHADEMA kuhusisha CCM kwenye milipuko ya Arusha,jamaa jinsi alivyokuwa anaongea bungeni,kila mtu pale alisema kuwa huu mchezo umechezwa na CHADEMA wenyewe,maana kila neno alilotumia lina mantiki.

Hilo ni mmoja tu linasumbua chama chote cha CHADEMA.
 
Ulivyomsifia kwa ujinga alioongea sii bure..samahani naomba kukuuliza...wewe ni miongoni mwa wanaodai haki sawa kwa wote??
 
Hiyo mashine sie tunamuita "poison dilutor".yan wewe weka sumu yako uwezavyo thn jamaa aje uone,no need of milk 2 dilute
 
Sio bure mleta mada utakuwa unatafuta kutongoz... na Mwigulu.
Ni hatari sana kumsifia mwanaume mzinifu mbele za watu.
 
Kweli kichwa mbovu. Yaani mtu nyuma yuko na serikali yote
 
Kwakweli nimeamini chadema hakuna wenye hoja,hebu fikiria inakuwaje chama kizima kinahangaishwa na kunyimwa usingizi na mtu mmoja tu ambaye ni mbunge machachali Kutoka huko mkoani Singida.Jamaa ni noma akisimama popote iwe jukwaani au bungeni,akizungumza tu hakuna mwenye uwezo wa kuvunjavunja hoja zake.lakini yeye ni fundi sana wa kuvunja hoja za wapinzani na kuoneka dhaifu kabisa.Chadema wanabaki wanalialia tu na kutukana.Huyu ni mmoja tu anatetemesha chama kizima cha chadema.

Nadhani kuna umuhimu wa chadema kama chama mkaendelea kujipanga ,jamaa bado hata robo ya mabomu yake kwa hajayalipua.Huyo ndiyo mwigulu bwana,ni shabab anayewanyima usingizi na kuwashughulisha chadema.

Nilikuwa nimekaa na wanachuo wengi sana siku jamaa anapangua hoja za chadema kuhusisha ccm kwenye milipuko ya arusha,jamaa jinsi alivyokuwa anaongea bungeni,kila mtu pale alisema kuwa huu mchezo umechezwa na chadema wenyewe,maana kila neno alilotumia lina mantiki.

Hilo ni mmoja tu linasumbua chama chote cha chadema.

Unaongea pumba, kwa taarifa yako huyo unayemtaja alipiga kampeni ya udiwani Iyela-Mbeya na Iseke- Singida na sehemu zote hizo madiwani walioshinda ni wa Chadema.
 
CCM ndiyo imebaki tegemeo lao kwa Mwigulu ila Mungu anaona mkweli ni nani kuna siku itajulikana tu.
 
Wasiwasi ni hao wanachuo! Walikuwa wanachuo wa chuo gani hao?! Tanzania haiishi vituko! Hao wanachuo watakuwa wanafundishwa somo la Mantiki (logic) kweli?!
 
duh! Kama mwigulu ndo machne ya ccm.. Akil ndogo kutawala akil kubwa! Gaidi ili likishirikiana na msomali mbona watatumaliza kwa mabom, risas, tindikal na kes za kufoj...
 
Nimeamini kweli wewe ni kichwa mbovu; na ubovu wa kichwa chako ndio unaoudhihirisha kwa kutumwa au kwa makusudi. Kila la shari.
 
Ni Tanzania tu ambapo muuaji anasifiwa kwamba ni machachari. Ingekuwa nchi nyingine Mwigulu angekuwa keshanyongwa zamani. Hata haiingii akilini mtu anapomsifia mtu aliyeua hadi watoto wadogo wasio na hatia!! Bado tuna safari ndefu!!!
 
Mkuu mwigulu ni kifaa cha tofauti kabisa mbowe hapendi hata kumchokoza make anajua moto wake si wa kawaida.

na kibaya zaidi kwa sasa kashika pote bungeni na kwenye chama ila wito wangu mwigulu anapaswa kuwa makini.

jinsi anavyowasumbua chadema na kwa roho zao zilivyo lazima wanamtafuta kwa udi na uvumba ,kwa uzuri na ubaya.

Awe makini sana hawa si watu kabisa tukubari tukatae.
 
Kwakweli nimeamini chadema hakuna wenye hoja,hebu fikiria inakuwaje chama kizima kinahangaishwa na kunyimwa usingizi na mtu mmoja tu ambaye ni mbunge machachali Kutoka huko mkoani Singida.Jamaa ni noma akisimama popote iwe jukwaani au bungeni,akizungumza tu hakuna mwenye uwezo wa kuvunjavunja hoja zake.lakini yeye ni fundi sana wa kuvunja hoja za wapinzani na kuoneka dhaifu kabisa.Chadema wanabaki wanalialia tu na kutukana.Huyu ni mmoja tu anatetemesha chama kizima cha chadema.

Nadhani kuna umuhimu wa chadema kama chama mkaendelea kujipanga ,jamaa bado hata robo ya mabomu yake kwa hajayalipua.Huyo ndiyo mwigulu bwana,ni shabab anayewanyima usingizi na kuwashughulisha chadema.

Nilikuwa nimekaa na wanachuo wengi sana siku jamaa anapangua hoja za chadema kuhusisha ccm kwenye milipuko ya arusha,jamaa jinsi alivyokuwa anaongea bungeni,kila mtu pale alisema kuwa huu mchezo umechezwa na chadema wenyewe,maana kila neno alilotumia lina mantiki.

Hilo ni mmoja tu linasumbua chama chote cha chadema.

Nilikuwa sijui kwamba kumbe taasisi ya POLICE Tanzania ndio Mwigulu!!!
 
Wasiwasi ni hao wanachuo! Walikuwa wanachuo wa chuo gani hao?! Tanzania haiishi vituko! Hao wanachuo watakuwa wanafundishwa somo la Mantiki (logic) kweli?!
Mtoi kwa mambo yalivyo siku hizi hayahitaji logic hata unaelimu kama ya sugu na lema unagundua tu kwamba mwigulu kawashika chadema
 
Ni Tanzania tu ambapo muuaji anasifiwa kwamba ni machachari. Ingekuwa nchi nyingine Mwigulu angekuwa keshanyongwa zamani. Hata haiingii akilini mtu anapomsifia mtu aliyeua hadi watoto wadogo wasio na hatia!! Bado tuna safari ndefu!!!

Kiongozi!

Umeona eee! Ni Tanzania pekee Majangili wanaitwa Jembe, wanapandishwa/ kupewa vyeo (yule jamaa ubalozi wa TZ Uganda), Kamuhanda n.k.
 
Unaongea pumba, kwa taarifa yako huyo unayemtaja alipiga kampeni ya udiwani Iyela-Mbeya na Iseke- Singida na sehemu zote hizo madiwani walioshinda ni wa Chadema.
Mkuu rudi kwenye hoja mbona kata alizoshinda husemi,jibu andiko la jamaa,je kunamwanachadema hata mmoja anaweza kupangua hoja za mwigulu?
 
Mtoi kwa mambo yalivyo siku hizi hayahitaji logic hata unaelimu kama ya sugu na lema unagundua tu kwamba mwigulu kawashika chadema

Unapo kuwa na MHALIFU alafu anapata BACKUP ya taasisi muhimu zinazo takiwa kuilinda KATIBA ya nchi kwa mujibu wa sheri, unategemea nini?

Hata Kemikali Ali kule Iraq alikuwa kama Mwigulu, lakini muda ulitengeneza historia.
 
Ngoma ikivuma sana......huyu atapanda Tu kizimbani, ni suala la muda tu
 
Mkuu rudi kwenye hoja mbona kata alizoshinda husemi,jibu andiko la jamaa,je kunamwanachadema hata mmoja anaweza kupangua hoja za mwigulu?

Si hata M/ Kiti wenu mnamuona BOMBA sana. Licha ya kuhaha na bakuli duniani kuombeleza misaada. Kisa TUNAKOPESHEKA. Eti hiyo nayo ni sifa ya kukufanya upewe upangaji Magogoni!!
 
Back
Top Bottom