Jana chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Tulifanya mkutano wa hadhara katika viwanja vya barafu hapa mjini dodoma. Kiukweli watu walijitokeza kwa wingi sana na mwishoni tuligawa kadi na ziligombaniwa kama mwana mwali.
WANANCHI WAKIWA WANAMSIKILIZA KAMANDA KIGAILA. STAY CONNECTED MAANA MOTO WAKE NI WAKUOTEA MBAAAAAALI.
Vipi safari híi mkuu wa mkoa hakupokea order ya kupiga marufuku mikutano hiyo?? Hongereni, lakini jitaidini kuingia dodoma vijijini, maana ccm imetaga kwelikweli hapo idodomya!
Mhh! mkuu mbona wote wanasikiliza kwa makini si wengeendelea na kazi zao? tujenge utamaduni wa kukubali penye ukweli huo ndio uanazuoni bobevu sio kupinga hata kinachoonekana kwa macho:lie:
Pole sana tutasubiri ee subiri mwendo wake mwenyewe utakubali. Kuna msemo husema heli kulambilizia kuliko kula kavu. Kikwetu tunasemaga kiba ukunavilidza kuliko ukulumanga