Kwani uniulize wakati katiba ipo? Kumbe mtatumia umbumbumbu wa watz kuhusu katiba kufanya mnachofanya?!.....Tehe!! tehe!! tehe!! we endelea kushika ukuta kwa fikra za mwenyekiti huku akikuaminisha katiba imesiginwa wakati nikikuuliza hata kifungu kimoja cha katiba kilichosiginwa huwezi kunitajia..
nikutakie ushikaji mahiri wa ukuta..,
Mbona marekani kuna maendeleo watu wanauhuru?Hakuna maendeleo mahali popote penye uhuru wa kila mtu kufanya na kusema atakacho, kwa misingi hiyo hata vitabu vya imani za dini zisingeandika sheria! Wapinzani wanalilia kutopotezwa kwa awamu hii maana wakimuunga mkono JPM wao hawana chao 2020! kuna mambo hata hayahijati elimu ya digriiii!
Kwani uniulize wakati katiba ipo? Kumbe mtatumia umbumbumbu wa watz kuhusu katiba kufanya mnachofanya?!.....
ahsante kwa maoni yako yanayoonyesha upeo wafikra zako.ila hapo penye kujua demokrasia rekebisha usiseme hatuijui demokrasia sema siijui demokrasia.Kuna vitu nimefikiria nikagundua kwamba kweli CCM kupitia Rais Magufuli ni wajanja sana, wamewaweka wapinzani bize na maswala ya kimahakama na kisheria au wamewapigia gitaa la nyimbo flani hivi amazing na wao wote sasa wanacheza huo mziki mchafu, yeye magufuli akisimama jukwaani anahesabu siku ngapi zimebaki kumaliza miaka mitano na tathimi yake ya maendeleo ya nchi, wakati wapinzani wako bize na maandamano na kesi, sisi wananchi tulio wengi hatujui hata demokrasia ni nini, tunahitaji maji, dawa hospitalini barabara elimu bora nk.... Hii ndiyo demokrasia yetu ya kweli, tundu lisu kushinda kesi mimi sio Ishu Ishu yangu ni huyo tundu lisu kutufanyia makeke alete maji nk..
Hayo ni maoni yangu tu binafsi.
Tatizo huleti hoja za msingi, bali unabwabwaja tu, na hii inaweza wewe ni miongoni mwa watu walioenda kuhifadhi akili zenu mahali fulani na baadaye "kipindi maalum" kitakapomalizika mtazifuata. Kama ungekuwa na akili zako usingeshindwa kuelewa kwamba mgongano uliopo sasa baina ya opposition na serikali ni kuzuiwa kufanya mikutano ambayo imeruhusiwa na katiba! Kwahiyo hapa wanaolalamika ni vyama vya upinzani, sasa hebu nenda kawaulize, kwa niaba ya serikali, kifungu gani cha katiba kilichosiginwa kabla hujazifuata akili zako "zilikohifadhiwa"!aliyesema katiba imesiginwa ni wewe, nitakuuliza kifungu kipi kilichosiginwa kwa kuwa wewe ndio mlalamikaji..
aliyekuambia watanznia mbumbumbu kakuongopea... unless wewe mwenyewe uwe mbumbumbu...
Chonde chonde. Siku ya Ukuta naomba Tundu lisu asishiriki maana hwa jamaa watamtarget yeye. Yan kufa Tundu ni bora wafe wanasheria wa serkal 30, wabunge wa CCM 100 na wanaukuta 1000000.Kila sehemu LISU! LISU! huyu mzee anatawaua kwa presha.... Hata utekelezwaji wa ahadi umesimama sasa
kwani CHADEMA au upinzani umewapa kodi yako!!??? Hata tulipoingia mchakato wa kisheria wa kura tulipotaka kuchukua dola mliwaunga mkono hao wezi wa kodi zenu kwa nusu karne> Umeona hata juhudi za kuwawajibidisha wenye kodi yako siyo haki!! NO be serious!!Kuna vitu nimefikiria nikagundua kwamba kweli CCM kupitia Rais Magufuli ni wajanja sana, wamewaweka wapinzani bize na maswala ya kimahakama na kisheria au wamewapigia gitaa la nyimbo flani hivi amazing na wao wote sasa wanacheza huo mziki mchafu, yeye magufuli akisimama jukwaani anahesabu siku ngapi zimebaki kumaliza miaka mitano na tathimi yake ya maendeleo ya nchi, wakati wapinzani wako bize na maandamano na kesi, sisi wananchi tulio wengi hatujui hata demokrasia ni nini, tunahitaji maji, dawa hospitalini barabara elimu bora nk.... Hii ndiyo demokrasia yetu ya kweli, tundu lisu kushinda kesi mimi sio Ishu Ishu yangu ni huyo tundu lisu kutufanyia makeke alete maji nk..
Hayo ni maoni yangu tu binafsi.
Bora mie za kwangu zimehifadhiwa wewe za kwako zimeshikwa na mwenyekiti alafu wewe ukashikishwa ukuta..Tatizo huleti hoja za msingi, bali unabwabwaja tu, na hii inaweza wewe ni miongoni mwa watu walioenda kuhifadhi akili zenu mahali fulani na baadaye "kipindi maalum" kitakapomalizika mtazifuata. Kama ungekuwa na akili zako usingeshindwa kuelewa kwamba mgongano uliopo sasa baina ya opposition na serikali ni kuzuiwa kufanya mikutano ambayo imeruhusiwa na katiba! Kwahiyo hapa wanaolalamika ni vyama vya upinzani, sasa hebu nenda kawaulize, kwa niaba ya serikali, kifungu gani cha katiba kilichosiginwa kabla hujazifuata akili zako "zilikohifadhiwa"!
Tatizo lenu mnafikiri kila aliyepo hapa JF ni mfuasi wa vyama vya siasa, ndio maana nasisitiza mnaambiwa akili zenu zimehifadhiwa sehemu hadi baadaye, ungekuwa na akili zako kichwani ukarudia kusoma ulichoandika ungejihurumia!Bora mie za kwangu zimehifadhiwa wewe za kwako zimeshikwa na mwenyekiti alafu wewe ukashikishwa ukuta..
Unalalama mikutano nimezuiwa wakati mlijifungia hotelini siku 4 mkiitafuna ruzuku ya chama kisha mkaja na tamko uchwara za kushikishana ukuta..
Kwani mlipojifungia hotelini mlikua mnapiga ramli ama mlifanya mkutano??
Msigwa anafanya nini Jimboni kwake?? Anawanga ama??
Lisu alipotiwa nguvuni alikua anafanya nini jimboni kwake??
Usinidai nikujibu kwa hoja wakati wewe mwenyewe unaruka ruka kama kitenesi cha gombania goli..
teh kweli mkuu itakua hasara kubwa sana kwa taifaChonde chonde. Siku ya Ukuta naomba Tundu lisu asishiriki maana hwa jamaa watamtarget yeye. Yan kufa Tundu ni bora wafe wanasheria wa serkal 30, wabunge wa CCM 100 na wanaukuta 1000000.
Ungeanza wewe kujihurumia maana hata hujui tena unacholilia ni kitu gani..Tatizo lenu mnafikiri kila aliyepo hapa JF ni mfuasi wa vyama vya siasa, ndio maana nasisitiza mnaambiwa akili zenu zimehifadhiwa sehemu hadi baadaye, ungekuwa na akili zako kichwani ukarudia kusoma ulichoandika ungejihurumia!