Sawa kaka samahani tumekukose lakini huu ndio uwezo wetu sisi watoto wa wakulima. Tunaomba nyie wenzetu mliojaliwa kuzaliwa huko masaki basi mtusaidie kuchangia mabilioni pliiiz
Nyie watoto wa mafisadi nyie na msijifanye ni watoto wa mkulima , na mnapenda sana sifa nyie. Yani mpo ughaibuni mnatoa dola mia nane halafu eti mnajisfia mitandaoni eti tumetoa. Thubutu. Rudini nyumbani. Hio milioni moja sio kitu kwa sasa hivi kwa hapaTanzania kwa hiyo bora usimsaidie mtu kabisa ama ukisaidia ukae kimya Mungu akulipe ila kama mnataka misifa ya kijinga basi toeni nyingi na sio vichekesho kama hivi
chadema tawi la uk lachangia harambee ya kumsaidia mjane wa mwangosi tawi la chadema uk jana walijiunga na wanaharakati wengine duniani kote kumchangia mjane wa mwandishi aliyeuawa daudi mwangosi,(r.i.p) mchango huo amekabidhiwa mwenyekiti wa mjengwa blog kiasi cha shs 1,012,500 cash
wako katika ujenzi demokrasia ya kweli na uhuru wa ukweli
wanatia aibu kweli hawa ..dola mia nane ndio wamechanga watu wazima halafu wanakuja kujitangaza huku kwenye mitandao ya jamii. Mimi nlijua wamechanga dola milioni moja bwana.