G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Natumia neno kihuni na naomba mods waelewe hasa ni kwa nini nimetumia neno hilo.
Hatuwezi kila chaguzi hizi lazima ama afe kada wa Chadema au wengi wao waachwe bila hatima na kisha tusiseme ni chaguzi zinazoendwshwa kihuni. Kila leo mambo yamekuwa yaleyale ambayo yanatokea kisha panaibuka kimbiakimbia ya polisi ya hapa na pale na baada ya muda mfupi mambo yanaendelea hivyohivyo.
Tulisema kuwa hatushiriki chaguzi hizi, kisha kweli hatukushiriki na wakafanya yale wanayoamini kwa amani kabisa! Hawakukamata wala kudhuru! Wakashinda kwa kishindo mambo yakaisha. Sasa tumeombwa na viongozi wetu wa kidini kuwa kufanya hivyo ni kuiletea nchi taswira mbaya. Tukashiriki ila naona tumerudi kulekule!
Tulipe kisasi?
Tukiendelea kuwaacha kwa hakika mampembe yatakomaa na watafanya mazoea. Kuwaachia wale tunaowaamini kuwa ni vyombo vya kiuchunguzi hakuna wanalofanya. Hima makamanda! Tuingie uwanjani, tuwasake kwa mikono yetu kisha tuwaonyeshe na sisi tunaweza.
Hatuwezi kuendelea kulea wahuni kisha tukadhani kuwa tutafanikiwa!
Hatuwezi kila chaguzi hizi lazima ama afe kada wa Chadema au wengi wao waachwe bila hatima na kisha tusiseme ni chaguzi zinazoendwshwa kihuni. Kila leo mambo yamekuwa yaleyale ambayo yanatokea kisha panaibuka kimbiakimbia ya polisi ya hapa na pale na baada ya muda mfupi mambo yanaendelea hivyohivyo.
Tulisema kuwa hatushiriki chaguzi hizi, kisha kweli hatukushiriki na wakafanya yale wanayoamini kwa amani kabisa! Hawakukamata wala kudhuru! Wakashinda kwa kishindo mambo yakaisha. Sasa tumeombwa na viongozi wetu wa kidini kuwa kufanya hivyo ni kuiletea nchi taswira mbaya. Tukashiriki ila naona tumerudi kulekule!
Tulipe kisasi?
Tukiendelea kuwaacha kwa hakika mampembe yatakomaa na watafanya mazoea. Kuwaachia wale tunaowaamini kuwa ni vyombo vya kiuchunguzi hakuna wanalofanya. Hima makamanda! Tuingie uwanjani, tuwasake kwa mikono yetu kisha tuwaonyeshe na sisi tunaweza.
Hatuwezi kuendelea kulea wahuni kisha tukadhani kuwa tutafanikiwa!