CHADEMA tumaini la Watanzania

CHADEMA tumaini la Watanzania

kilichosababisha serikali washindwe kuisambaratisha chadema ni kwa kua haipo tayari kutumika na watawala kwa maslahi binafsi, chadema wanaamini raslimali za taifa zinatakiwa kumnufaisha kila mtu na si wachache ndo maana hawapo tayari kushiriki dhambi hiyo na watawala.

ukitizama vyama vyote vilivyokubali kutumika na serikali vimesambaratika na kupuuzwa na wananchi.
 
Kupata vichekesho kama hivi tuma neno MEKU ikifuatiwa na neno MSHEKU kwenda 000 🤣🤣🤣🤣
 
Chadema ni chama cha kiharakati na matusi hamna zaidi ya hapo.
Sifa kuu ikiwa ni ukanda zaidi huku ruzuku ikitafunwa na wakubwa hapo ufipa.
Kule mashinani ni chama cha msimu na kisicholipa watumishi mafao.
Sera yake kuu ni kujadili watu na matukio badala ya hoja na sera.

Ufinitishi kwa wana CCM badala ya kufanya siasa zao wenyewe.
 
Ingekuwa hivyo vibaraka wa lumumba wasingepeleka kesi ya kubumba ya ugaidi
Uwezo wako wa kujua mambo ni mdogo sana hujiulizi kabla ya kufuata mkumbo,kwaakili yako hao makomandoo ulusikia walifukuzwa kazi lini na wapi na kwanini?

Mbowe ni kada wa ccm miaka dahali na ni mtoto wa waanzilishi wa nchi hii je leo afungwe kwa lipi ?

Mrema,mbowe,silaa,nk ni watumikishwa walio kazini kyua upinzani nchini kwa maslahi yao na familia zao.

Sasa vichwa maji kama wewe mtakaa mkiaminu mbowe atafungwa wakati yuko kazini kywahamisha kifikira na kuwasahaulisha machungu ya maisha kwa kuona mko nae.
 
Toka nimeanza kufuatilia siasa sijawahi kumsikia mtu mwenye akili timamu aliyewahi kusema CHADEMA inafaa kuongoza nchi lakini nilichokisika mpaka sasa ni kwamba CHADEMA isife, na hii ni kwa sababu:

I) CHADEMA hakijawahi kusemwa kama chama cha siasa kwenye jamii licha ya kwamba ina usajili kwa msajili wa vyama vya siasa. Majina ambaye tumekua tukiyasikia juu ya CHADEMA ni SACCOS, Mali ya familia n.k

2)CHADEMA hakijawahi kujijenga kwenye misingi na amani, umoja na mshikamano ambazo ni nguzo za mtanzania.

3) Umaarufu wa CHADEMA si huu ambao tunaamini ndio humu JF, vijijini huko kuna wengine hata kirefu chake hawakijui achilia mbali kazi sake.

Safari ya CHADEMA kushika dola ni ndefu sana, inatakiwa ianze kwa kujenga falsafa inayoeleweka kwa Watanzania, kijenge mtazamo utakaofuta mtazamo wa wengi walioanao sasa kwamba CHADEMA ni saccos, inatakiwa itafute rasilimali watu wa kuaminiwa na kuaminika kuongoza nchi, watu kama Sugu na Lema ni mzaha.
Kama ndio tafakari Yako, basi utakuwa timu viroboto au timu bambikizi ya akina badluck &co.
 
Chadema ni chama cha kiharakati na matusi hamna zaidi ya hapo.
Sifa kuu ikiwa ni ukanda zaidi huku ruzuku ikitafunwa na wakubwa hapo ufipa.
Kule mashinani ni chama cha msimu na kisicholipa watumishi mafao.
Sera yake kuu ni kujadili watu na matukio badala ya hoja na sera.

Ufinitishi kwa wana CCM badala ya kufanya siasa zao wenyewe.
Ruzuku tangu mmepora kwenye chafuzi jiulize usiowapenda i
ulitegemea wafe kwa njaa ila mnaona wivu baada ya kuona shavu linawatoka na hukuwakidunda bila shaka.
 
Toka nimeanza kufuatilia siasa sijawahi kumsikia mtu mwenye akili timamu aliyewahi kusema CHADEMA inafaa kuongoza nchi lakini nilichokisika mpaka sasa ni kwamba CHADEMA isife, na hii ni kwa sababu:

I) CHADEMA hakijawahi kusemwa kama chama cha siasa kwenye jamii licha ya kwamba ina usajili kwa msajili wa vyama vya siasa. Majina ambaye tumekua tukiyasikia juu ya CHADEMA ni SACCOS, Mali ya familia n.k

2)CHADEMA hakijawahi kujijenga kwenye misingi na amani, umoja na mshikamano ambazo ni nguzo za mtanzania.

3) Umaarufu wa CHADEMA si huu ambao tunaamini ndio humu JF, vijijini huko kuna wengine hata kirefu chake hawakijui achilia mbali kazi sake.

Safari ya CHADEMA kushika dola ni ndefu sana, inatakiwa ianze kwa kujenga falsafa inayoeleweka kwa Watanzania, kijenge mtazamo utakaofuta mtazamo wa wengi walioanao sasa kwamba CHADEMA ni saccos, inatakiwa itafute rasilimali watu wa kuaminiwa na kuaminika kuongoza nchi, watu kama Sugu na Lema ni mzaha.
Mbona lowasa chini ya chadema alimgalagaza jpm akanyanganywa tonge mdomoni?
 
Back
Top Bottom