CHADEMA Tarime wavurugwa na Mbowe

CHADEMA Tarime wavurugwa na Mbowe

Naface

Member
Joined
May 27, 2015
Posts
66
Reaction score
65
Chama cha democrasia na maendeleo wilaya ya Tarime kimeingia katika mgogoro na mwenyekiti wao wa taifa mh Freeman Mbowe.Mgogoro huo umesababishwa na Mbowe kuwapangia wana chadema kumchagua mwenyekiti ambae ni Hawara wa mbowe.
Na walipokataa kufanya hivyo mbowe ametishia kufuta madiwani wote wa Chadema katika majimbo mawili ya tarime mjini na Tarime vijijini.
Sharti la pili alilotoa mbowe ni kama hawataki kumchagua mteule wake wachague huyo wanae mtaka na kuongoza kwa kipindi cha miaka miwili na nusu na kisha Hawara wa mbowe atamalizia awamu inayo baki, Alisema Mbowe
Katika hali hiyo imesababisha mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Mara Chacha Suguta Heche kutangaza kuachana na siasa za kiharakati za Chadema.
Pia john Heche amesema" [16/12 10:14] John Heche: Hiyo kauli kama ilitolewa haikubaliki Tarime ni sehemu muhimu katika mapambano ya ukombozi wa taifa hili na imethibitisha hivyo mara zote nitafutilia kujua ukweli wake
[16/12 10:15] John Heche: Hatutakubali mtu yoyote kutupuuza na kuipuuza Tarime kwa njia zozote zile
[16/12 10:16] John Heche: Mimi kama mbunge niliechaguliwa na watu wa Tarime kuwasemea na kuwapigania nitafanya hivyo bila kumuogopa yeyote"amesema Mh heche.
Wadau ntaendelea kuwapasha.
 

Attachments

  • 1450325465045.jpg
    1450325465045.jpg
    48.4 KB · Views: 1,830
Majungu hayasaidii uchaguzi umekwisha hakuna mtu aliyeshinda zaidi ya Chadema kushinda.
 
Mimi Mbowe toka ampokee lowassa sikuona sababu ya kuendelea kuwa mwanachadema, niliamini kama jamaa nae ni msaka tonge tu hanalolote
 
Mleta mada umevurugwa......hivi mbowe anawachagulia mtu au nyie ndo mnaamua nan mumchague ??
 
rejea nilichokiandika na angalia alichokisema Mh heche then ndio urudi kukoment
 
Pombe ya kunywea nyuma ya guduria acha!!!hazina faida yeyote mleta mada.
 
Sidhani wala sifikirii kama itakuwa kweli maana Mbowe hawezi kuwapangia ila huyo mleta mada ni mamluki
 
Hivi Mbowe ana maawala nchi nzima? Mara kwenye viti maalum, mara wenyeviti wa Halmashauri! Tumieni akili zenu kufikiri
 
Mleta mada kavurugwa, kama hujui jambo ni bora kukaa kimya, wagombea wote walikua wanaume, na wewe unadai mbowe alikua akitaka kuweka hawara yake, sasa hao wanaume nani hawara ya mbowe?, vichwa vingine bwana dah!
 
mbowe ni msaka tonge tu kama wasaka tonge wengine na chadema pia ni chama cha wasaka tonge kimbilio la mwiz lowassa
 
Majungu hayasaidii uchaguzi umekwisha hakuna mtu aliyeshinda zaidi ya Chadema kushinda.

mkuu umegeuka mpumbavu sasa!
umegeuka sanamu
umegeuka na kuwa mpuuzi kutetea ambayo haviteteeki
umekuwa adui wa utu wako mzuri

ebu jiangalie
 
Hata Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara humjui, unabwabwaja tu humu na umbea wako! TUMECHOSHWA NA TEAM-UZUSHI
 
mkuu umegeuka mpumbavu sasa!
umegeuka sanamu
umegeuka na kuwa mpuuzi kutetea ambayo haviteteeki
umekuwa adui wa utu wako mzuri

ebu jiangalie
Wewe ni malaya tu ya CCM upo ya Chadema upo.

Mbowe ni kisiki baada ya kushindwa kumpindua uenyekiti na kumuweka msaliti wenu Zitto umebaki kuwa malaya wa siasa.
 
Mleta mada ni muongo Tena mnafiki wa kutupa usiye faa na usiye jua chochote kwa ufupi madiwani walipiga kura na kamati tendaji kwa wakati mmoja na sauti akaongoza kwa asilimia 76% na kazi ya katibu ni kuandika majina 2 na kupeleka makao makuu lkn kilicho fanyika katibu akachukua kalamu akandika jina la nyaswi kuwa ndilo jina limependekezwa na makao makuu akaacha jina la sauti na akalipeleka kwa mkurugenzi na utaratibu mkurugenzi anatambua barua kutoka wilaya na siyo kutoka makao makuuhapo ndipo mgogoro ulipo anzia na mbowe alimpigia simu katibu akagoma kufuata maagizo ya makao makuu na nyanswi akapigiwa na mbowe akakaidi kupokea Simu alicho kisema mbowe chama kinaendeshwa kwa taratibu na Chadema bila tarime inawezekana kwa uhuni wa katibu wa wilaya kuandika barua nakuipeleka kwakurugenzi na kusema imetoka makao na kupendekeza jina la nyanswi ndiye awe mgombeaamevunja utaratibu wa chama kwa hhiyo mbowe kasema tutakutana kwenye vikao.
 
Mleta mada kavurugwa, kama hujui jambo ni bora kukaa kimya, wagombea wote walikua wanaume, na wewe unadai mbowe alikua akitaka kuweka hawara yake, sasa hao wanaume nani hawara ya mbowe?, vichwa vingine bwana dah!

Nashukuru sana mkuu kwa jibu lako Mada imefungwa Invisible fungeni mada
 
Last edited by a moderator:
mkuu umegeuka mpumbavu sasa!
umegeuka sanamu
umegeuka na kuwa mpuuzi kutetea ambayo haviteteeki
umekuwa adui wa utu wako mzuri

ebu jiangalie

Chunguza jibu la Tarime utajiona jinsi ulivyokua mjinga
 
Back
Top Bottom