Chadema sio chama sahihi cha mabaliko

Hahaha kiwaya, unafurahisha sana(if you are kidding) and unasikitisha sana(if you are serious)

-Yaani mtu akisema kuwa CHADEMA ni chama kinachoweza kutufikisha kwenye mabadiliko tunayoyataka, ni mwanachama wa CHADEMA, halafu with that unasema una upeo wa kufikiri, SERIOUSLY?
 

No sense, nenda karekodi upya ili tuweze kuona picha na kusikia sauti. maana tunaona chenga na kusikia sauti ya kukoroma.

kumbuka no research no right to speak
 

Nimefurahi sana kuona huna ulichonacho kuhusu hicho unachokisimamia! Nashukuru kunidhihirishia dhahiri kwamba nilichokiandika umekikubali! Sasa ni muda wa mimi na wewe sasa kuwaambia watu ukweli, kwamba hata wewe uliyekuwa unadhani ndicho chombo kitakachotupa mabadiliko hukijui kabisa!
 
Kiwaya, Huo ni wako mtazamo tu mkuu, just b'se am mute/quiet doesnt mean you are right...i didnt say a word bse i found nothing out of it that make sense, and i believe am not the only one(refer to how many people have commented POSITIVELY) in your thread!

Again, if you cant know how to organize yourself and put your ideas into writings, why dont you sit back to watch and learn?..and dont generalise, almost everything you post/talk you generalize( to generalize is to be an idiot)..so unless you are, stop it.
 
No sense, nenda karekodi upya ili tuweze kuona picha na kusikia sauti. maana tunaona chenga na kusikia sauti ya kukoroma.

kumbuka no research no right to speak

nimependa ulichokiandika unaonekana umetaka kuandika jambo ila ukaguundua hujui chochote ila kuna watu unawafuata kwa kuzani wana nafasi kubwa katika maamuzi yako! Badilika amini unachokifikiria kwani ndicho sahihi
 

Wengi humu ndani wamenyeshwa sumu ndio mana wameshindwa kutafakari bali wakakurupuka! Tambua mtu mweshe msimamo hateteleki ila ukiona anaonyesha jazba, anatoa matusi, na kejeri pale anapoambiwa ukweli ujue hana msimamo na hajui msimamo wake uko wapi au hajui anachokisimamia!
 
Najua kuwa vijana wengi hapa tz akili zao sio madhubuti katika ubunifu ndio maana wengi katika vyuo hua wanafanyiwa research na projects ili kuhitimu masomo yao. Tatizo hili ndio linalosababisha vijana kutekwa kimawazo na watu wengine coz wao hawezi kufikiri, hivi unategemea kijana aliyefanyiwa project au research anaweza kuleta ubunifu wa kimaendeleo kwaku ng'ang'ania CDM? KIJANA BADILIKA HAPA TATIZO SIO CHAMA TATIZO NANI ATAONGOZA NCHI? SAMAHANI KWA GRADUATES MLIOFANYIWA RESEARCH AU PROJECTS.
 
Nadhani si kila pumba ni za kupembua, nyingine ni za kumwaga tu!

Sent from my LT26i using Tapatalk 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…