CHADEMA sasa chali

CHADEMA sasa chali

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
 
Kuna kila dalili za chadema kupoteana wenyewe kwa wenyewe,majimboni hali ni ngumu kwa wagombea,zomeazomea nayo imeshika kasi,maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500,Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.
Chadema wapoteana kweli, huku mtaani kwetu hawataki kusikia neno chadema.
 
Habari ya asubuhi naona ndiyo unakurupuka kutoka kitandani. hahahaha
 
Kuna kila dalili za chadema kupoteana wenyewe kwa wenyewe,majimboni hali ni ngumu kwa wagombea,zomeazomea nayo imeshika kasi,maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500,Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.

Kwa hiyo ukishaandika upumbavu kama huu, unatoka nduki kwenda kudai buku 7.

No wonder baba zenu wameuza nchi China!
 
wamebaki walioajiliwa humu Jamiiforums kulitetea hili fisadi
 
hahahahahaha ... wagombea wa Ukawa hata kama wangesimamisha magogo yangeshinda kwa mbali ... Sanaa za kuwanunua watu wajae kwenye mikutano haihusiani na kupiga kura ... kaa vijiweni, Maofisini, Masokoni, stand, Vyuo, kila kona CCM inapondwa kwa kwenda mbele ...
 
Kuna kila dalili za CHADEMA kupoteana wenyewe kwa wenyewe, majimboni hali ni ngumu kwa wagombea, zomeazomea nayo imeshika kasi, maelfu ya wanachama wake wakimbilia CCM chukulia mfano ile ya Nyamagana wafuasi zaidi ys 3500, Mtwara 1900, Geita zaidi ya 3000 nk.

Chadema wamepoteza mwelekeo,mgombea wao hauziki kila kona
 
Back
Top Bottom