PostGE2025 CHADEMA: Polisi Wamkamata Katibu wa Kanda ya Kati Kabla ya Mkutano na Waandishi wa Habari

PostGE2025 CHADEMA: Polisi Wamkamata Katibu wa Kanda ya Kati Kabla ya Mkutano na Waandishi wa Habari

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Leo Desemba 19, 2025, Jeshi la Polisi limemkamata Bi. Ashura Masoud, Katibu wa Kanda ya Kati, akiwa katika ofisi za Kanda - Dodoma akijiandaa na mkutano na waandishi wa habari. Pia wamekamatwa mwandishi wa Jimbi TV, hadi sasa haijafahamika walipelekwa kituo gani cha polisi.
1766145659581.png
 
CCM si chama cha siasa tena, bali kundi la kigaidi.
 
CCM si chama cha siasa tena, bali kundi la kigaidi.
 
Leo Desemba 19, 2025, Jeshi la Polisi limemkamata Bi. Ashura Masoud, Katibu wa Kanda ya Kati, akiwa katika ofisi za Kanda - Dodoma akijiandaa na mkutano na waandishi wa habari. Pia wamekamatwa mwandishi wa Jimbi TV, hadi sasa haijafahamika walipelekwa kituo gani cha polisi.
View attachment 3517592
Wanawapa umaarufu wa bure,wangemuacha tu aongee anayotaka kuongea,,hawa mbona nao kama wamehamua kumchafua madam president? Waziri wa Mambo ya ndani alishatoa maelekezo kuwa vitu vingine ni kumpuuza tu,
 
Leo Desemba 19, 2025, Jeshi la Polisi limemkamata Bi. Ashura Masoud, Katibu wa Kanda ya Kati, akiwa katika ofisi za Kanda - Dodoma akijiandaa na mkutano na waandishi wa habari. Pia wamekamatwa mwandishi wa Jimbi TV, hadi sasa haijafahamika walipelekwa kituo gani cha polisi.
View attachment 3517592
Siku hizi wanaoruhusiwa kufanya live press ni CCM na wahadhirii wakata vichwa wa kiisalam...
 
mkiambiwa CCM imeshakufa ndiyo muelewe wanaigopa chadema kuliko kansa juzi mkurugenzi wa sheria chadema wakil nshala amesema chama kuu cha siasa tanzania ni chadema na huu ndiyo uthibitisho kwa sasa chadema wanafanya siasa na polisi baada ya CCM kufa oct 29
 
Polisi wapo hapo kwa ajiri ya kulinda mbogamboga na bi chura

Haya ni mapimbi viazi..
 
Back
Top Bottom