CHADEMA (Odinga) vs CCM (Uhuru) siasa za nje!

Umetoka rumande Leo? Mbona upinzani Tz waliweka msimamo wao kuwa wanamuunga mkono Uhuru kinyata tangu mwanzo w kampeni
Na wakaanisha na sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
John Pombe Magufuli alikwenda kuzindua kampeni za Odinga na kumpigia debe, je ndani ya CCM yuko katika nafasi gani? Je ni hatua zipi za kinidhamu anastahili kuchukuliwa na CCM?!
Alipaswa kuwajibishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…