CHADEMA nzito zaidi ya CCM

Kumbe umekurupuka kiasi hicho jaribu basi hata kusoma kidogo najua unafukuzana na muda ili buku 7 yako iingie

Unajua kuna kudonoa na macho kwa kusaka kupiku vineno fulanim. Hii inahitaji ujuzi na kujua nini kimo.. mimi kama mdau wa humu kama sivutiwi kusoma yote sijisukumi.. mleta mada angeweka ujanja wa kuvutia kuanzia juu labda ningesoma hata kama anaipa kiki upinzani..

So ndio hivyo
Kwaheri.. soma wewe jifurahieeeree na hayo ya sijui nini nini mnayopenda upinzani kusoma.. hiyo buku saba yangu kama unalipwa wewe kwa niaba yangu mbona hujaniambia kabla!!!
 
Hahahaaaaaa!!!!!usikimbie rafiki yangu hiyo dozi leo imekuingia pole sana CCM zenu zimetimia lazima muelekee kibra
 
Hahahaaaaaa!!!!!usikimbie rafiki yangu hiyo dozi leo imekuingia pole sana CCM zenu zimetimia lazima muelekee kibra

Haijaniingia tena wewe ndio unanifanya hata nisirudi kuisoma baadae nikiona uzi upo upo bado kwa new posts.. unafikiri kuniandikia kuwa niusome nilikuwa sijui unalotaka kunisukumia...

Sasa subiri nipate ile kuboreka humu.. labda kwa sasa nipo bizi na uzi zingine humu.. na huyo ameandika kichwa cha uzi tu ni ndoto kutaka kujisafisha juu ya kukimbiwa.. maneno yangu ya post ya mwanzo yanasimama sibadili.

Jifunze kudonoa hata 5 words kujua nini kimo na kuona mboreko mtu unasepa..

Jua ningeusoma ningejibu labda gazsti na zaidi.. ila kurudia rudia kuwaeleza majambo kila mara huwa napunzika kusubiria wakati mwingine... jua kuwa na matumizi mazuri ya kichwa sio kujiandikia tu
 
Rudi uisome hii nyuzi best naamini utaingiza kitu kipya kichwani nakuondoa makando kando ya Lumumba karibu sana CDM kwa maendeleo ya Tz
 
Hata Lowassa asingekatwa Ccm asingehamia Chadema, Nyarandu asingepokwa uwaziri CCm asingehamia Chadema. Yapo mengi tu hapo usijifanye huyaoni, umeeleza madhaifu ya CCM tu lakini hujatueleza uzito wa Chadema unatokana na nn

Lkn kumbuka Akina nyarandu sidhan Kama wanafuta hela cdm Zaidi ya wao kutoa hela Yao mfukoni.
 
Rudi uisome hii nyuzi best naamini utaingiza kitu kipya kichwani nakuondoa makando kando ya Lumumba karibu sana CDM kwa maendeleo ya Tz

Hivi leo vipi mbona mpo wengi mnaniambia nikaribie Chadema.. huko mtajiju maana ningekuwemo nanyi na tabia zenu ningewacharaza wote kwa jinsi mnavyoboa... ha ha ha haaaaaaaaa

Cocochanel hadi raha jamani.. endelea ulipo siku ukiwa tayari njio twende pamoja kuchukua kadi ya uanachama wa kwa Magufuli.
 
Lakini Nyalandu ni tofauti maonana ameuacha ubunge aliokuwa nao.
 
Ukija kwetu tunakutoa huo undondocha wa Lumumba akili zikikurudia tunakuacha huru
 
Ili tupime kiwango cha ujinga wako

Ha haaaaa ningekuwa hivyo usingeninukuuu hadi sasa.. acha wivu sema nikufmdishe kuwa supa upstairs.. ila jua hutanipita.

Eeeeh nije niwasaidie.. sema hilo.. eeeeh... endelea kuota.. mimi mbona hata humu siandikagi kufikia uwezo wa kiwango nachojua ninacho.. kwa sababu sitaki pia nyie upinzani kuwafunzia humu majambo.. maana mngekuwa mnaringa sana kwa kiki ambayo ningewapatia.. na sababu mnaboa bora nishangilie tu lori la Magufuli.
 
Yaani CCM yangu imefikia mahali pa kununua wanachama? Yaani CCM yangu inakufa hivihivi. Halafu siioni mikutano ya kampeni ya CCM yangu jamani. Iko wapi? Yaani kila kona ni CHADEMA inajaza watu hata kama mgombea wao yuko jela duh!!! Jamani CHADEMA wabaya nyiyeeee!!!!
 

si kwa kujifariji huku, duh!! unaandika risala zile za chipukizi enzi za nyerere!!

imeuma, unatulia, unaangalia mbele, na kuwa wapi umekosea! sasa huo uzito wa chadema kama wote wataenda CCM chadema itabakiwa na nini? kama wote wanaenda kwa sababu wanapewa hela, ccm ndio wenye serikali ndio wenye dola, ndio wenye hela!! unasema kwa tusitegemee mabadiliko kwa hivi vyama??
 
Soma vizuri, ha yo unayouliza majibu yake yapo ndani ya Uzi tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…