CHADEMA ni "professional"

...full respect cdm na ukawa,full respect wabunge wa bunge maalum la katiba kambi ya ukawa,shambulio lenu moja tu limewavuruga maccm na hawajielewi mpaka sasa....


Watu hasa Maccm hayana point siku zote nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali inayotolewa na viongozi wa upinzani UKAWA na wale wa CCM nikagundua Maccm hawana point kabisa. na nikakubaliana na hoja ya Mch. Msigwa kuwa wabunge wasomi walioko ccm akili wanaziweka mfukoni na wanajifanya hawanazo kwa muda ili mradi wapo ccm.

Kwanza kumbukeni kampeini za uchaguzi mkuu mwaka 2010 kwenye kipindi cha mchakato majimboni kilichokuwa kinarushwa na TBC muda huo na mkurugenzi wake alikuwa TIDO MUHANDO.Mnakumbuka kuwa wagombea wa ccm walikuwa hawatokei muda wa mdahalo na hatimaye kikawekewa mizengwe hakikufana vizuri. na baada ya uchaguzi TIDO MUHANDO alisimamishwa kazi TBC.Hapo mtajua kuwa hawa jamaa ni wepesi ,waoga, hawajiamini mbele ya hoja za msingi.

Pigeni chini maccm hawana kitu nchi yetu imeendelea kuwa maskini kwa muda mrefu tumechoka. October iwe ndo mwisho wao na wawe wapinzani.
 

Kuungana na yeyote ni kiini macho Mkuu, tumeshuhudia kejeli za wabunge wachadema, dhidi ya wabunge wa CUF, tumeshuhudia jinsi walivyo kuwa wakijisifu na kujigamba wao ndio wenye idadi kubwa ya wabunge hivyo hawahitaji kuungana na chamachochote na wakafanya hivyo, tumeshuhudia matusi kutoka kwa, Mchungaji Msingwa dhidiya CUF, tumeshuhudia matusi ya Mh. Wenje dhidi ya upinzani, tumemshuhudia mwanadada machachari wa chadema Halima Mdee nae akiwakejeli wapinzani ndani yabunge, achilia mbali kejeli na dharau zaMh. Mkurugenzi wa sheria sijui Tundu Lisu dhidi ya CUF na upinzani wote.
Sasa Baada yakupoteza nguvu ya ushawishi na mvuto kwa wananchi, iliwalazimu Chadema kurudinyuma na kula matapishi yao wenyewe. Hapa inaonyesha Chama hiki hakipo kwamaslahi ya umoja wao huo ulioundwa kwa mgongo wa katiba mpya, laiti kamawangalikua na uwezo wa kusimama wenyewe wasingeli mkaribisha mtu yeyote Yule.
Tunasubiri kwa hamu kubwa kuona kama watakubali ProfesaLipumba awe mgombea wa UKAWA, hapa sasa zitaanza kutolewa sababu kibao ilituwajitenge.
 

Nani kakwambia kuwa ni lazima Prof Lipumba awe mgombea? Wewe unajitungia ngonjera kama kawaida yenu. kn hata hivyo ni ishara nzuri kwa vyama vidogo kuona umuhimu wa kukusanya nguvu kwa manufaa ya walalahoi kam sisi. Ninajua inawezekana unatukajeli kwa ID yako maana nyie ndoy wenye nchi pamoja na mali nyingi! Mkuu angalia nafsi yako isije kukusuta siko zijazo za mbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…