Makamanda wa chadema ni msingi muheza leo wapo kata ya ngomeni kijiji cha mkanyageni zoezi la chaguzi za msingi zinakwenda vyema,.makamanda wengine wapo kata ya mlingano kijiji cha mlingano eneo la kizota wanachama wamejitokeza kuchukua fomu za uongozi wa chadema ngazi ya msingi na kata,hakuna kulala mpaka wang'oke ccm