CCM original
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 373
- 68
Nimeshangazwa na kitendo cha baadhi ya wanachama wa CHADEMA kufurahia na kushangilia kuhojiwa kwa baadhi ya wanachama wa CCM na kamati ya maadili ya chama.
kuna watani wangu wa kisiasa hapa mtaani ambao ni wanachama wa CHADEMA wakawa wananiambia kuwa "safari hii mtagawanyika kama karata".
Sikuwajibu neno, ila niwatahadharishe watani zangu wa CHADEMA, sisi wanaCCM hufanya mambo kwa weledi na busara za hali ya juu,
walioitwa na kamati ya mzee Mangula wameitwa kutoa maelezo yao ili chama kijiridhishe na shutuma dhidi yao.
Hawakuitwa kufukuzwa uanachama wala kuvuliwa uyeo vyote ndani ya chama.
Nyie shangilieni sisi tunajijenga, cheleweni mahakamani, nasikia eti apiril mosi tena.
CCM original.
kuna watani wangu wa kisiasa hapa mtaani ambao ni wanachama wa CHADEMA wakawa wananiambia kuwa "safari hii mtagawanyika kama karata".
Sikuwajibu neno, ila niwatahadharishe watani zangu wa CHADEMA, sisi wanaCCM hufanya mambo kwa weledi na busara za hali ya juu,
walioitwa na kamati ya mzee Mangula wameitwa kutoa maelezo yao ili chama kijiridhishe na shutuma dhidi yao.
Hawakuitwa kufukuzwa uanachama wala kuvuliwa uyeo vyote ndani ya chama.
Nyie shangilieni sisi tunajijenga, cheleweni mahakamani, nasikia eti apiril mosi tena.
CCM original.