keteka
Senior Member
- May 12, 2013
- 149
- 52
CHADEMA NI DAWATI LA UKOMBOZI BUNGENI
Mh.Dkt. Webiro Lucas Webiro ambaye ni kiongozi wa ziwa mashariki yaani Shiyanga,Simiyu,Mara na mgombea ubunge mtarajiwa jimbo la bunda mjini 2015 wakazi wa Bunda humuita wakolosero au umwana wayeka kama nyimbo zao zinavyosema;
Akiongea na wananchi wa Bunda kwa nyakati tofauti tarehe 06/05/2015 kwenye vijiji vya Mihale,Nyatwali,Bukole,Hunyari,Kyadenge,Mariwnda,Kihumbu na Mugeta, wakati wa mkutano wa tano wa vijiji hivyo kuidai ardhi ya kawaga serikali ya CCM iliyochukuliwa kinyamela bila kushirikisha wananchi wavijiji hiikatika kijiji cha Mariwanda kata ya hunyari wilaya bunda.
Mh.Dkt.Webiro aliwakumbusha kidogo historia ya ardhi ya kawaga kwamba baada ya mvua ya uhuru mwaka 1962 watu waliishi kawaga na kulima mashamba yao hapo kawaga hadi mwaka 1972 na mwaka 1974 tamko la vijiji vya ujamaa vilipo anzishwa watu walihamisha makazi yao na kuondoka kawaga kuacha mashamba yao huko kawaga ilikuvijenga vijiji kwa wakati huo.
Eneo la kawaga ambalo lin ukubwa wa raba kati ya 3900 hadi 4800 likawa wazi. Hiyo kipindi cha mwaka 1992 rais mstaafu mwinyi alipandisha hadhi na kuwa pori tegevu bila kuwa shirikisha wananchi wa kawaga kwa sababu ya sheria za wakati huo ambazo zilimpatia rais madaraka hayo alifanya hiyo lakini sasa viongozi wa CCM na wale Halmashauri wamefanya kama mradi wao binafsi wa kujipatia fedha kutoka kwa mwekezaji wa VIP au GRUMETI RESERVE ambaye kwanza walimuomba awasaidie kuzuia ujagili katika eneo hili la kawaga ambalo lipokaribu na hifadhi ya serengeti kitu ambacho hakina msaada wowote kwa watu wa kawaga na hakuna mkataba wowote na wanakawaga hadi sasa. kwa hiyo Mh.Dkt.Webiro na wanakawaga akaamua kwa pamoja tunamuomba KUB wetu bungeni Mh.Mbowe ahoji serikali ya CCM je, ni lini ardhi ya kawaga itarudi mkononi wa wananchi wa kawaga ili waache kuitumia kama ATM ya viongozi wa CCM na wale halmashauri ya bunda kwa mwekezaji wa VIP.
tatizo ni sheria iliyotumika wakati huo ambayo sasa haipo nakuendelea kuwa nyima haki ya ardhi yao ni unyanyasaji na ulavi wa hali ya juu wa mali ya umma kwa serikali ya CCM.
Nadhani saa imefika watu tuwe wazalendo na waandilifu kama msingi ya umoja wetu tusisubili mabomu ndio tutoe maamuzi juu ya watu wetu.
Mh.Dkt. Webiro akiongea kwa uchungu mkubwa juu ya fidia walizowapatia wananchi wa Kawanga nyama ya pundamilia na nyumbu 15 kila mwaka kila kijiji ambao ni wanyama wetu utadhani alikuwa amewaleta kutoka kwao wakati ni mali yetu hapa hapa kweli serikali hii ya CCM IMEVAA MIWANI YA MBAO aibu kubwa ya kuwadhalilisha watu wa Kawanga utu wao namna hiiwakabadilisha tena wakaanza kuwapatia fedha shilingi milioni1.8 hadi sasa wanawapatia milioni 2.0 na kuna mpango wa kuwa patia milioni 10 kila kijiji kwa mwaka yote haya ni wizi ulafi na uchoyo dhidi ya mali ya umma uliowekwa serikali ya CCM.
Mh.Dkt. Webiro akiongea kwa njia ya simu na mkurugezi wa wilaya bunda alijibu kwa wananchi ni kweli dhambi hii ameikuta ila sasa ameanza kuishungulikia na maamuzi yatatolewa na wakilishi baada ya baraza lijalo naomba wanipenafasi ni hakikishe wanapata haki ya ardhi yao ila Mh.Dkt.Webiro aliwambia angalia sana juu ya hili hatuna mchezo sisi hakubaliani na chochote kile tunataka ardhi yetu ilitulime mazao ya chakula pesa hazitusaidii chochote bali nikuwapa fursa viogozi wa CCM na wale halmashauri yako kushibisha matumbo yao.
Naomba wapewe ardhi yao si vingineyo sauti ilisikika kutoka kwenye mkutano huo "tunataka ardhi yetu chadema kazi iwazile mapambano bado yanaendelea webiro kaza buti hadi kieleweke mwanzo mwisho."
Mh.Dkt. Webiro Lucas Webiro ambaye ni kiongozi wa ziwa mashariki yaani Shiyanga,Simiyu,Mara na mgombea ubunge mtarajiwa jimbo la bunda mjini 2015 wakazi wa Bunda humuita wakolosero au umwana wayeka kama nyimbo zao zinavyosema;
Akiongea na wananchi wa Bunda kwa nyakati tofauti tarehe 06/05/2015 kwenye vijiji vya Mihale,Nyatwali,Bukole,Hunyari,Kyadenge,Mariwnda,Kihumbu na Mugeta, wakati wa mkutano wa tano wa vijiji hivyo kuidai ardhi ya kawaga serikali ya CCM iliyochukuliwa kinyamela bila kushirikisha wananchi wavijiji hiikatika kijiji cha Mariwanda kata ya hunyari wilaya bunda.
Mh.Dkt.Webiro aliwakumbusha kidogo historia ya ardhi ya kawaga kwamba baada ya mvua ya uhuru mwaka 1962 watu waliishi kawaga na kulima mashamba yao hapo kawaga hadi mwaka 1972 na mwaka 1974 tamko la vijiji vya ujamaa vilipo anzishwa watu walihamisha makazi yao na kuondoka kawaga kuacha mashamba yao huko kawaga ilikuvijenga vijiji kwa wakati huo.
Eneo la kawaga ambalo lin ukubwa wa raba kati ya 3900 hadi 4800 likawa wazi. Hiyo kipindi cha mwaka 1992 rais mstaafu mwinyi alipandisha hadhi na kuwa pori tegevu bila kuwa shirikisha wananchi wa kawaga kwa sababu ya sheria za wakati huo ambazo zilimpatia rais madaraka hayo alifanya hiyo lakini sasa viongozi wa CCM na wale Halmashauri wamefanya kama mradi wao binafsi wa kujipatia fedha kutoka kwa mwekezaji wa VIP au GRUMETI RESERVE ambaye kwanza walimuomba awasaidie kuzuia ujagili katika eneo hili la kawaga ambalo lipokaribu na hifadhi ya serengeti kitu ambacho hakina msaada wowote kwa watu wa kawaga na hakuna mkataba wowote na wanakawaga hadi sasa. kwa hiyo Mh.Dkt.Webiro na wanakawaga akaamua kwa pamoja tunamuomba KUB wetu bungeni Mh.Mbowe ahoji serikali ya CCM je, ni lini ardhi ya kawaga itarudi mkononi wa wananchi wa kawaga ili waache kuitumia kama ATM ya viongozi wa CCM na wale halmashauri ya bunda kwa mwekezaji wa VIP.
tatizo ni sheria iliyotumika wakati huo ambayo sasa haipo nakuendelea kuwa nyima haki ya ardhi yao ni unyanyasaji na ulavi wa hali ya juu wa mali ya umma kwa serikali ya CCM.
Nadhani saa imefika watu tuwe wazalendo na waandilifu kama msingi ya umoja wetu tusisubili mabomu ndio tutoe maamuzi juu ya watu wetu.
Mh.Dkt. Webiro akiongea kwa uchungu mkubwa juu ya fidia walizowapatia wananchi wa Kawanga nyama ya pundamilia na nyumbu 15 kila mwaka kila kijiji ambao ni wanyama wetu utadhani alikuwa amewaleta kutoka kwao wakati ni mali yetu hapa hapa kweli serikali hii ya CCM IMEVAA MIWANI YA MBAO aibu kubwa ya kuwadhalilisha watu wa Kawanga utu wao namna hiiwakabadilisha tena wakaanza kuwapatia fedha shilingi milioni1.8 hadi sasa wanawapatia milioni 2.0 na kuna mpango wa kuwa patia milioni 10 kila kijiji kwa mwaka yote haya ni wizi ulafi na uchoyo dhidi ya mali ya umma uliowekwa serikali ya CCM.
Mh.Dkt. Webiro akiongea kwa njia ya simu na mkurugezi wa wilaya bunda alijibu kwa wananchi ni kweli dhambi hii ameikuta ila sasa ameanza kuishungulikia na maamuzi yatatolewa na wakilishi baada ya baraza lijalo naomba wanipenafasi ni hakikishe wanapata haki ya ardhi yao ila Mh.Dkt.Webiro aliwambia angalia sana juu ya hili hatuna mchezo sisi hakubaliani na chochote kile tunataka ardhi yetu ilitulime mazao ya chakula pesa hazitusaidii chochote bali nikuwapa fursa viogozi wa CCM na wale halmashauri yako kushibisha matumbo yao.
Naomba wapewe ardhi yao si vingineyo sauti ilisikika kutoka kwenye mkutano huo "tunataka ardhi yetu chadema kazi iwazile mapambano bado yanaendelea webiro kaza buti hadi kieleweke mwanzo mwisho."