CHADEMA ni chama cha PROPAGANDA


data kwenye hiyo red please
 
Nazidi kuamini maneno ya mayor wa jiji la Dsm (DR D. Dasabur.) Ccm wengi wanafikiri kwa kutumia M.a.k.a.l.i..... Yule mwingine anae watuma juzi amesema Tanzania ina wenyewe na wenyewe ni Ccm, lakini wakati huohuo akijua nchi ina takribani watu milioni 43 na huku mtaji wao wa wanachama wanao tangaza ni milioni 5. Amesahau kuwa kuna milioni 38 zinabaki ambazo hata ukisema watoto wasio na haki ya kupiga kura ni milioni 20 bado inabaki milioni 18.
Huyu mjinga nae kaja na akili zilezile zaki uwehu kama kaka yake.
 
Co bure ume2mwa wewe,hofu yako kama uliahidiwa viti maalum na magamba 2015 kuanzia sasa sahau coz CHADEMA wanachukua nchi 2015 na vibaraka wenzio kama wewe mtaishia hvy hvy....kwanza we ninani mpaka upingane na nguvu ya uma?inawezekana umetoroka mirembe kabla ya kumaliza doz,viva CHADEMA.
 
hahahahahahahahahahah nae huyu fisadi wa maneno embu jivue gamba la ufisadi huo CDM oyeeeeeeeeeeee 2015
 
....haya nenda chooni ukajisaidie
Hata Gaddafi wa Libya alikuwa na akili kama hizi zako na maneno ya kejeli kama haya yako! Lakini je, leo yuko wapi?

Ghadafi alikuwa ana akili kama za CHADEMA. Propaganda kwa CHADEMA ni mwelekeo wa udikteta.
akili yako inafuata trend hii hapa......kichwani kutakuwa kumebaki kasha tu!!! hakuna kitu tena
 
Hawa wakishika nchi watakuwa wanatoa matamko kila siku, ila vitendo sifuri.
 
Bora uugue ukimwi kuliko kuwa na ugonjwa wa uccm?nadhani we hujitambui kabisa na kinachoendelea tanzania ama yawezekana ni mkimbizi uliyefika jana.pole kwa mawazo finyu.
 
Bora uugue ukimwi kuliko kuwa na ugonjwa wa uccm?nadhani we hujitambui kabisa na kinachoendelea tanzania ama yawezekana ni mkimbizi uliyefika jana.pole kwa mawazo finyu.
mtoa mada yupo right; ni kheri Matonya afundishe chuo kikuu kuliko CHADEMA kuingia Ikulu; maana hilo litakuwa ni janga lingine la kitaifa; nadhani ndio utakuwa mwisho wa Tanzania!
 
sijui unazungumzia maendeleo gani ambayo unadhani ccm imeyaleta,labda ya kwako binafsi na wenzako wachache.of koz wanatishia maendeleo ya ccm kuharibu hili taifa,kama ungekuwa unaujuwa uongoz walau kidogo ungejua kuwa propaganda ni part and parcel,hata hivyo propaganda za chadema zinavyosukwa ni kisomi mno,wanatupa matumaini kuwa wanaweza kutawala
 
Chadema wamepeleka vijana palestina, libya na afghanistan kujifunza uhalifu

Muhalifu akiikomboa nchi yake,madini,wanyamapori,mafuta,atakuwa amefanya jambo la maana na la kusifiwa,kukumbukwa,na kushukuriwa mno.
 

Mkuu umepiga bull. Najua watakujia juu humu lakini umewapa kile ambacho wanastahili kukisikia. Candid analysis!
 

Sitatumia ubabe wala silaha za moto. Silaha yangu kubwa ni wakati. Huu kwa bahati mbaya hamuwezi kuupunguza wala kuuongeza, sijui kama mna mpango wa kufanya mapinduzi.

Nina siku 1404 za kuhakikisha huyu aitwaye Mh Slaa (kama mtampendekeza tena kugombea Urais. Na kwa uroho wake atalazimisha tu kugombea urais) au CHADEMA kuizuia kuingia madarakani.

UWEZO NINAO, NIA NINAYO, MBINU NINAZO NA WAKATI UPO. Kilichobakia ni kutangaza siku rasmi ya kuanza mapambano dhidi ya waharibifu wa nchi yetu.
Kazi yetu ni ndogo kwani nyie ni wachafu ndani ya CHAMA na nje. Toka katika maadili mpaka katika utendaji, ubadhilifu wa pesa ya ruzuku mpaka katika ajenda zenu za siri na Ujerumani. Kama Mod hataingilia kati nitaweka ushahidi wote hapa hadharani.

Mmedai ushahidi katika thread hii, sikufanya hivyo kwa kuogopa Mod kuifuta thread hii. Vinginevyo yote niliyoyasema ninaushahidi nayo.
 

Unayaona ya Mama Sirleafs wa Liberia pekee, vipi kuhusu propaganda za Mh. mwenyekiti wa CCM? Ama kweli nyani haoni kundule. Kuna ahadi gani ambayo imetekelezwa na Rais JK, maisha bora kwa kila mtanzania yamepatikana? Mgawo wa umeme kua historia, ununuzi wa meli kubwa za abiria na mizigo ziwa Victoria, nyasa na tanganyika, na kuimarisha kilimo na ufugaji kwa watanzania, just to refresh your memory....! unashindwa kuyaona yaliyo kwenye ncha ya pua yako unawezaje kuona ya mbali? Pia CCM haiwezi kusurvive kwani uongo wake umefika mwisho ndugu.
 

Propaganda, Propaganda, Propaganda.................. Propaganda!

Mnajua nilishaacha kutumia Kamusi katika maneno ya kisiasa muda mrefu sana. Nafikiri utanielewa kwanini niliacha baada ya maelezo mafupi hapa chini.

Kuna Siasa na siasa kama vile ambavyo kuna Propaganda na Propaganda.

Kwa mtanzania Siasa ni uongo uliokomaalakini kwa wanaoijua Siasa wanasema ni kuwaeleza watu kile wanachopaswa kukisikia na sio kile wanachopenda kukisikia.

Halikadhalika Proganda, Kuzunguka Igunga Yote eti kuwaeleza wananchi kuwa CUF ni CCM B ndio lilikuwa kubwa kuliko kueleza ufumbuzi wa matatizo ya wanaigunga. Kutumia neno Dr ....... ni muhimu sana kuliko kueleza huyu Mh Slaa amefanya nini akishika nyadhifa mbali mbali. Kutumia mgawanyiko wa watanzania katika misingi ya Dini na ukabila ni muhimu sana kuliko kueleza ufumbuzi wa matatizo ya watanzania katika umoja. Sasa najiuliza hivi kauli ya umoja ni nguvu bado ni sahihi kwa CHADEMA au ndio imekufa.

Kwa hiyo unapolitaja neno propaganda, zingatia jinsi CHAMA husika kinavyolitumia na sio tafsiri katika kamusi, kwani kwa mwingine huita Takriba na kwangu ni Rushwa. Jisikia unavyolielewa neno na jinsi linavyosaidia kujenga au kubomoa nchi yetu.

Kuna rafiki yangu alinivunja mbavu aliposema kuwa Rais Bush anawakazania waarabu wakuze na kuendeleza DEMOKRASIA KATIKA NCHI ZAO, Wakati hata kwenye KAMUSI zao neno DEMOKRASIA halipo.
 
Kweli mfa majij hakosi kutapatapa,mwisho ccm tutasikia mumejinyea mavi kwenye majukwaa,maana hizo presha zimewakamata mapema hata kabla ya 2015,inawapa presha cdm eheeee!haingaikieni mamigogoro yenu ya makundi na mafisadi wenu wanao wadhamini kwwenye chaguzi ka R.A
 
akili za mchwa hizo!kawaulize watangulizi wako!akili zako hazina mashiko!iwapo cdm ni sumu na ssm ni nini kwa nchi hii hata aibu hawana!mabadiliko yakija hakuna wa kuzuia, hii ni ka upepo kaka!piga ua magamba yanaondoka!sinan doubt juu ya hili
 
kazi yao ni nyingi!1.kueleza umma wamefanya nini kwa zaidi ya miaka 502.kuuza sera zao za uongo kwa mara nyingine bila aibu3.kujibu mapigo toka kwa watu wenye fikra pevu4.kutafuta njia mbadala ya kuiba kura na kununua shahada5.kupika wali na kugawa pesa wakiamini ni njia sahihi ya kuchukua madarakawakati wenzao1.kueleza maovu yote2.kuuza sera na jinsi gani watashughulikia matatizo ya wananchi na kuja na solutionso lazima watapetape kwenye medani hii ya siasa!hata tuwape miaka mingine 100 bado hakuna watakachofanya!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…