CHADEMA ni bomu linalolipuka muda wowote

jinga usiye na aibu nani akuzuie
 
Wewe kweli zwazwa yaani kitu kama hujui ni bora ufunge bakuli lako
 
Ni zwazwa tu wa chakubanga
Kuzungumza Vitu Usivyo Na Uhakika Navyo Ni Sawa Na Kupiga Ramli Tuu.
Umewasiliana Na Wabunge Hao Na Kujua Kwa Nini Hawakuhudhuria Vikao Vya Chama Au Kwanini Hawakuenda Kwenye Uzinduzi Wa Sera?
 
Huna akili wewe chupaki
 
Chakubanga kesha kuharibu
 
Kweli kabisa mkuu
 
Jamani MO kapatikani km chache kutoka ikulu.

Mungu ni mwema
 
Kama wewe unayemsikiliza chakubanga ulivyo kilaza
 
Dikteta ni babako
 
Nyani haoni kundule
 
Kwa trend ya matukio ya chadema wala huitaji kuingia maabara..mnatakiwa muangalie namna ya kuokoa chama chenu nyie wanachama..maana kwanza wameshawaambia wanazuiwa kushirikiana na serikali kitu ambacho kinaonekana kuwapa tabu wabunge wenu wengi..mngekuwa binadamu wa kawaida hilo tu lingewasumbua kichwa..ila sababu mpo mpo tu,mnaona kawaida

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
 
Una akili sana we jamaa

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
 
We unadhani wangempa makande kama ambavyo wangekuteka wewe..MO ni mtu wa watu na mnyenyekevu..hata watekaji walipokuwa nae waliliona hilo.. system nzima ya nchi ilikuwa inamtafuta na mipaka ilifungwa nchi nzima baharini na nchi kavu..sasa we mtekaji mwenyewe si lazima uogope..

Sent from my HUAWEI P7-L10 using JamiiForums mobile app
 
Shameless foolish fool!!
 
Tunakupuuza wewe na mafisiem wenzako mliojikita katika kuteka,kutesa na kuua baada ya kukosa hoja.
 
Tunakupuuza wewe na mafisiem wenzako mliojikita katika kuteka,kutesa na kuua baada ya kukosa hoja.
 
Hilo La Wabunge Kuambiwa Wasishirikiane Na Serikali Bado Halina Uthibitisho Unaojitosheleza Sababu Tumeshuhudia Baadhi Wakitoa Ushirikiano Kwa Serikali. Na Kwanini Uone Kwamba Wabunge Wa Chadema Wamekatazwa Kushirikiana Na Serikali Na Usione The Other Way Round Pia. Je! Serikali Inajitoa Kwa Moyo Wa Dhati Kutoa Ushirikiano Kwa Wabunge Au Majimbo Yenye Wapinzani???

Baadhi Ya Wabunge Wa Upinzani Wamelalamikia Hilo Kwamba Serikali Haitoi Ushirikiano Kwao! Na Hata Baadhi Ya Waliohamia Ccm Wamekiri Kuwa Walikuwa Hawahudumiwi Na Serikali Walipokuwa Upinzani Ila Sasa Watahudumiwa Sababu Wapo Ccm.

Pia Baadhi Ya Viongozi Wa Kiserikali Mf. MaDC Na MaRC Wamekuwa Mstari Wa Mbele Kuwanyanyasa Wapinzani Kana Kwamba Si Watanzania Jambo Ambalo Ni Kinyume Cha Sheria. Baadhi Yao Wamewahi Kusimama Hadharani Na Kusema Hawatatoa Ushirikiano Kwa Wapinzani Kamwe! Ubaguzi Huo Wa Kichama Huoni Ndio Chanzo Cha Kuharibu Mahusiano Kati Ya Wabunge Wa Upinzani Na Serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…