Nimeamini cdm tu vilaza, mtu alikuwa chuoni wa Kibaha anakaa Mikocheni B kwa Mdee hajui apate wapi kadi. Lakini kikubwa ni hiyo bei ya ada ya kadi miaka mitanom buku kila mwaka ni 5500. Ahaaa nimechoka, nilkuwa napita kwenda kupumzika nikakutana na hili, mchoko unazidi. Twafaaaa