kaka pole sana, yaliyofanywa na chadema ni mfano wa kuigwa na vyama vyote, hayo ndio lowasa(maneno yake tu ) alimaanisha aliposema kuhusu serikali yake ya ccm kufanya maamuzi magumu, haijalishi chama kitaathiliwa kwa kiasi gani, lazima maslahi.
Ya taifa yazingatiwe, wel done chadema bado shibuda.