baba mtokeaji
Member
- Mar 22, 2014
- 8
- 1
kunapotokea mpambano wa mafahali wawili lazima mmoja akishindwa huleta visingizio kibao. Chadema imapoingia vitani hutumia mbinu nyingi zikiwemo halali na haramu, kuna wengine watapinga kuwa chadema hawatumii mboinu haramu, lakini ukwel wanaifahamu mwenyewe. Mara nyimgi chadema wanaposhindwa huja na visingizio kibao ikiwemo ushindi wa kisayansi, kiukweli kama umesafiri sehemu ambapo huna watu unaofahamiana then ukapata watu wa kukusapoti ni dhahiri kwamba utakuwa na uwezo mkubwa wa ushawishi na kujamiana na jamii, hivyo basi kura 5000 kwa 22000 kiuhalisia sio ushindi bali ni mtaji ambao chadema wangeutumia kujiimarisha jimboni na si kusema wameshinda kisayansi huku wakiondoka jimboni bila mikakati madhubuti ya kuzilida hizo kura 5000 na kuhakikisha wanaongeza zingine 22000. kazi kwenu wanachadema.