Mkuu, tena inabidi waingie kwenye usimamizi na vidumu vya lita tano kwa ajili ya kukojolea, maji lita tatu na mikate miwili. Hakuna kutoka kwenye chumba cha kupigia na kuhesabia kura, mpaka kieleweke.
Dawa ni kukaba hadi penati; si unaona CCM wanavyozusha vurumai? Wamekabwa pande zote.