CHADEMA na ubunifu wa kubeba watu

CHADEMA na ubunifu wa kubeba watu

Hatimaye chadema wamekuja na mbinu mpya ya kujaza watu kwenye mikutano yao,aidha Maroli na Mabasi yanatumika kuwasafirisha wafuasi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenye tukio katika siku husika.Hakika huu ndo ubunifu walionao,japo pia wameongeza kiwango cha posho kwa wafuasi wanaofika mikutanoni.
Kwa hiyo ulitaka na maspika wabebe begani au? halafu picha ni hizi hizi tangu mwaka jana kila thred huna jipya?
 
Hiyo ni kali ya mwaka

attachment.php
 
Hatimaye chadema wamekuja na mbinu mpya ya kujaza watu kwenye mikutano yao,aidha Maroli na Mabasi yanatumika kuwasafirisha wafuasi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenye tukio katika siku husika.Hakika huu ndo ubunifu walionao,japo pia wameongeza kiwango cha posho kwa wafuasi wanaofika mikutanoni.
Mafurikozzzzzzz ya kutengeneza.
 
Post nyingine za Fisiem hazistahili kupewa hata uzito labda kwaku JF saiv ni sawa na mali yoyote ya fisiem
 
Maccm yameshikwa pabaya, mwaka wa mabadiliko huu
 
Yaani hizo picha ndio mnazizirudisha humu kila siku na kiuhalisia hayo ni magari ya matangazo na ilikuwa ni siku ya uzinduzi pale Jangwani.
 
CDM wao hawasombi kwa malori, wanasomba kwa kutumia mabasi ya marcopolo. teh
 
Haaaa wenzetu mkitoa post kama hii mnalipwa sisi hatulipwi hata kumi.

Zile bilion 15 alizozitoa Lowasa kuinunua CHADEMA Mbowe bado anazo mwambie akupe hata buku 10 tu unatoka jasho bure
 
CHADEMA ya sasa haina tofauti na CCM: wanabeba watu kwenye malory, Ufisadi na Rushwa sio dili tena kwao. "Utafiti umefanyika na Ufisadi ni 5% tu ya watanzania wanaulalamikia" Mchungaji Msigwa

cdm.jpg cuf.jpg
 
Back
Top Bottom