CHADEMA na ubunifu wa kubeba watu

CHADEMA na ubunifu wa kubeba watu

lacuna

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
653
Reaction score
168
Hatimaye CHADEMA wamekuja na mbinu mpya ya kujaza watu kwenye mikutano yao,aidha Maroli na Mabasi yanatumika kuwasafirisha wafuasi kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine wenye tukio katika siku husika.

Hakika huu ndo ubunifu walionao,japo pia wameongeza kiwango cha posho kwa wafuasi wanaofika mikutanoni.
 

Attachments

  • IMG-20151006-WA0022.jpg
    IMG-20151006-WA0022.jpg
    139.3 KB · Views: 3,317
  • IMG-20151006-WA0020.jpg
    IMG-20151006-WA0020.jpg
    36.3 KB · Views: 1,056
  • IMG-20151006-WA0025.jpg
    IMG-20151006-WA0025.jpg
    96.3 KB · Views: 772
Magufuli utawaumiza ukiwa kila kona wanaogopa kusema chama chao kwa sasa.
 
Kwahiyo hadi daladala unasema zinabebea watu?
Uko wapi kwanza wewe?Mbona daladala kibao mjini hapa zina bendera za Chadema kila siku?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Haaaa wenzetu mkitoa post kama hii mnalipwa sisi hatulipwi hata kumi.
 
Posho ya elf hamsini kwa kichwa,afu wanasema mafurika,ukiwa na maigizo kweli
 
Ni Act tu Ndio haibebagi watu CCM +UKAWA kazi moja,, hashim rungwe wa chauma naye habebi watu kabisa...
 
Bila kujaza unafikiri watu watakwenda kwenye mikutano yao.... Unadhani wananchi wamesahau richmond??
 
Mimi nashangaa kweli ukikaa kimya nani atakucheka? Uongo siyo mzuri tuambie hili limetokea wapi?
 
Tofauti ni kwamba hayo magari hata kama yanachuku watu wao ndo wanayakodi tofauti na yale ya ccm ambayo chama kinalipa na kuwapa pesa mkononi kila mtu ilimradi tu wajaze watu kwnye mkutano huo ndo ukweli
 
Kwahiyo hadi daladala unasema zinabebea watu?
Uko wapi kwanza wewe?Mbona daladala kibao mjini hapa zina bendera za Chadema kila siku?
attachment.php


Umewaona ''Makamanda'' wenzio hao.
 
Back
Top Bottom