kambipopote
Senior Member
- Nov 15, 2010
- 121
- 22
Mkuu,
Nilikuwepo wakati mh Mbowe alipoendesha tamasha la vijana pale Makumira University.
Alisema kuwa kwasasa wabunge wote wa Chadema wanunue magari ya 4WD, maana kazi imeanza, na hakuna kijiji ambacho wataacha kukikanyaga nchi hii....
Pia alisema kuwa waage kabisa majumbani kwao, maana hawana mudA mrefu, wataondoka kuelekea vijijini kuanza kujenga chama...
Hiyo inaonyesha wazi kuwa wana mipango mahsusi kabisa ya kuanzia kwenye grassroot kujenga chama.
R.I.P:twitch:Lini hasa mnategemea kuzindua awamu ya pili ya OPARESHENI SANGARA NCHI NZIMA????? hAKIKISHENI ccm HAWAPATI HATA SEKUNDE YA KUPUMUA HATA KIDOGO..
Mfahamu pia kuwa hamtakuwa wenyewe wenye mikakati hiyo
CUF,CCM na NCCR pia wanafikiria kufika vijijini na kwa watu wengi as possible
Tahadhdari: Mkishindwa mkubali kwakuwa wote tunafanya kazi hiyo ok!
Siyo muanze kulia foul play ok..padre slaa
Sounds like cra.p!
Na imeandikwa na mtu ambaye kichwa hakina mawasiliano na kiwiliwili!
Karibu maana ni kuzuri na panaaminika. Na ndio chama pekee cha uhakika kilichobaki Tanzania.Natamani kuungana na CDM kufanya siasa. Nafikiria kuwa mwanachama wa chama cha siasa kwa mara ya kwanza kwenye maisha yangu, nitakuwa mwana-CDM.
PakaJ, haya maneno yamefanya siku yangu ya leo niione imeanza vizuri. Mwendo mdundo.Mkuu,
Nilikuwepo wakati mh Mbowe alipoendesha tamasha la vijana pale Makumira University.
Alisema kuwa kwasasa wabunge wote wa Chadema wanunue magari ya 4WD, maana kazi imeanza, na hakuna kijiji ambacho wataacha kukikanyaga nchi hii....
Pia alisema kuwa waage kabisa majumbani kwao, maana hawana mudA mrefu, wataondoka kuelekea vijijini kuanza kujenga chama...
Hiyo inaonyesha wazi kuwa wana mipango mahsusi kabisa ya kuanzia kwenye grassroot kujenga chama.
Mkuu,
Nilikuwepo wakati mh Mbowe alipoendesha tamasha la vijana pale Makumira University.
Alisema kuwa kwasasa wabunge wote wa Chadema wanunue magari ya 4WD, maana kazi imeanza, na hakuna kijiji ambacho wataacha kukikanyaga nchi hii....
Pia alisema kuwa waage kabisa majumbani kwao, maana hawana mudA mrefu, wataondoka kuelekea vijijini kuanza kujenga chama...
Hiyo inaonyesha wazi kuwa wana mipango mahsusi kabisa ya kuanzia kwenye grassroot kujenga chama.