CHADEMA na mbio za mwenge

Alikwenda kuakikisha nini kinaendelea jimboni kwake, ili kesho akiulizwa asije akatumia lugha ya ikulu "nimeambiwa, nimeambiwa, ni............"
 

Hatulazimishi mkuu,ukweli ndo huo,kama alikuwa kwa ajili,ya kumbukumbu za baba wa taifa mbona aliwashawishi vijana wa mlandege na stand kuu wasihudhurie kwani hao baba yao wa taifa ni mwingine

Penye makosa akubali huyu Msigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…