CHADEMA na kilio cha demokrasia mazingaombwe

CHADEMA na kilio cha demokrasia mazingaombwe

Addis Ababas

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2018
Posts
351
Reaction score
353
Chadema:
(1) tunataka haki
(2) tunataka uhuru
(3) usawa
(4) democracy ya kweli
(5) uhuru wa kusema, kuandamana nk
SAWA. Hayo wanayataka, wanayapigania... Kutoka kwa nani? Serikali, kutoka kwangu na wewe

Swali ni je, Chadema nao wanatambua kuwa wanatakiwa kutoa haki kwa wengine, democracy ndani ya chama chao, usawa, uhuru nk? Kwa nn wao hawataki kusemwa, kudaiwa? Chacha Wangwe msaliti, Zitto amenunuliwa, ukiwahama vita ukihamia mkombozi...

Jamani democracy ni pande zote, kila mtu na kila mahali
 
Mkuu demokrasia kwa afrika ni ndoto. hapa tanzania hakuna chama chenye demokrasia kamwe zaidi ya ubabaishaji tu. ndo maana hata katiba ya nchi inasiginwa .......sio chadema wala watani wao ccm. kwa afrika vyama vya siasa ni magenge ya kutafuna pesa za walipa kodi bila jasho.
 
Chadema imeshindwa kuona kifo cha NCCR imeshindwa kuona kifo cha TLP na sasa kinafuata kifo chake.

Tatizo kubwa la Chadema ni Uongozi hasa Mwenyekiti.
 
DR. SLAA IS A STAR SHINING ALL OVER THE SKY. Aliondoka akiwa mpweke aliyeshindwa na sasa anarudi akiwa shujaa mwenye kushinda. ALiuliza swali akaonekana mpuuzi na hafai mtu fitina. Sasa je yanayotokea sasa CDM; Dr. Slaa siyo shujaa? Na swali lake bado linauliza Je Luwasa ni Asset au Liability?
 
Demokrasia ingeendelezwa ndani ya chama kama ilivokua kwa watangulizi wake mzee mtei na marehem bob makani kuachiana tatizo huyu aliivuruga ndomana haya yote yanatokea na kujionea mazingaombwe ya kila aina
 
DR. SLAA IS A STAR SHINING ALL OVER THE SKY. Aliondoka akiwa mpweke aliyeshindwa na sasa anarudi akiwa shujaa mwenye kushinda. ALiuliza swali akaonekana mpuuzi na hafai mtu fitina. Sasa je yanayotokea sasa CDM; Dr. Slaa siyo shujaa? Na swali lake bado linauliza Je Luwasa ni Asset au Liability?
huyu huyu mliyekuwa mnamuita padri mzinzi
 
Umekosa kazi umeanza kuwachokoza Malaika.
Chadema:
(1) tunataka haki
(2) tunataka uhuru
(3) usawa
(4) democracy ya kweli
(5) uhuru wa kusema, kuandamana nk
SAWA. Hayo wanayataka, wanayapigania... Kutoka kwa nani? Serikali, kutoka kwangu na wewe

Swali ni je, Chadema nao wanatambua kuwa wanatakiwa kutoa haki kwa wengine, democracy ndani ya chama chao, usawa, uhuru nk? Kwa nn wao hawataki kusemwa, kudaiwa? Chacha Wangwe msaliti, Zitto amenunuliwa, ukiwahama vita ukihamia mkombozi...

Jamani democracy ni pande zote, kila mtu na kila mahali
 
Chadema:
(1) tunataka haki
(2) tunataka uhuru
(3) usawa
(4) democracy ya kweli
(5) uhuru wa kusema, kuandamana nk
SAWA. Hayo wanayataka, wanayapigania... Kutoka kwa nani? Serikali, kutoka kwangu na wewe

Swali ni je, Chadema nao wanatambua kuwa wanatakiwa kutoa haki kwa wengine, democracy ndani ya chama chao, usawa, uhuru nk? Kwa nn wao hawataki kusemwa, kudaiwa? Chacha Wangwe msaliti, Zitto amenunuliwa, ukiwahama vita ukihamia mkombozi...

Jamani democracy ni pande zote, kila mtu na kila mahali
CDM ndio waanzilishi wa siasa za matusi mitandaoni. Wananyoosha kidole kimoja wakisahau kuwa vilivyobaki vinazisuta nafsi zao.
 
Back
Top Bottom