lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,805
- 4,374
Hivi vyama vya CHADEMA na CUF vikifa CCM watashindana na nani?
Simba ikifa Yanga itacheza na nani?
Kama watanzania lazima tukubali ushindani wa kisiasa kwa moyo mkunjufu, lazima tufanye siasa za ushindani ni tamaduni wetu, kizazi na kizazi, tusiruhusu mtu atakayeuwa timu ya Simba Yanga ibaki yenyewe, tusiruhusu watu waue ushindani wa kisiasa ulioasisiwa na baba wa taifa hili, tena baba ambaye kila mwaka tunamwadhimisha kwa mazuri yake na moja ya mazuri yake ni kuasisi mfumo wa vyama vyingi vya siasa nchini kwetu Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba ikifa Yanga itacheza na nani?
Kama watanzania lazima tukubali ushindani wa kisiasa kwa moyo mkunjufu, lazima tufanye siasa za ushindani ni tamaduni wetu, kizazi na kizazi, tusiruhusu mtu atakayeuwa timu ya Simba Yanga ibaki yenyewe, tusiruhusu watu waue ushindani wa kisiasa ulioasisiwa na baba wa taifa hili, tena baba ambaye kila mwaka tunamwadhimisha kwa mazuri yake na moja ya mazuri yake ni kuasisi mfumo wa vyama vyingi vya siasa nchini kwetu Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app