katika hali ya kujiweka sawa kuimaliza Anglican community transparent(ACT) vyama 2 chadema na ccm wamepenyeza watu wao ndani yake ili kupata michakato yote inayo endelea ndani kama hatua ya kujihami ktk mikakati ya kuwachafua unao andaliwa na chama hicho ambacho kimeundwa na waroho wa madaraka walio timuliwa au kukosa nafasi toka ktk vyama vyao vya zamani