CHADEMA na CCM vifutwe vinavuruga amani ya taifa

CHADEMA na CCM vifutwe vinavuruga amani ya taifa

Baba Clara

Member
Joined
May 10, 2011
Posts
94
Reaction score
27
Tanzania tulipofikia hatuhitaji tena kuwa na vyama vya CCM na CHADEMA, hivi vyama vinasababisha Amani na Uzalendo wa Taifa letu kupotea, migogoro kila kukicha, leo tunasika CCM wana green guard hawa nao CHADEMA wana Red brigadi, je ni majeshi au ni vikundi? je katiba ya nchi inaruhusu? kama wote wamevunja katiba ya nchi kwa kuanzisha waliyoanzisha nini kifanyike? Ni bora kabisa vyama hivi vikafutwa kabisa? tena kile kinachoonekana kuwa ni tatizo kifutwe kabisa? Ni heri tuingie kwenye uchaguzi mdogo wa kitaifa kuliko kupoteza Amani na Uzalendo wa Taifa letu.VIVA chama cha NCCR-MAGEUZI-PAMOJA TUTASHINDA, MUNGU YUPO.
 
Siku watoto wako wawili wakiwa na mawazo tofauti katika familia utawafuta?
 
Au waungane basi. Chama Cha Demokrasia na Mapinduzi
 
Tanzania tulipofikia hatuhitaji tena kuwa na vyama vya CCM na CHADEMA, hivi vyama vinasababisha Amani na Uzalendo wa Taifa letu kupotea, migogoro kila kukicha, leo tunasika CCM wana green guard hawa nao CHADEMA wana Red brigadi, je ni majeshi au ni vikundi? je katiba ya nchi inaruhusu? kama wote wamevunja katiba ya nchi kwa kuanzisha waliyoanzisha nini kifanyike? Ni bora kabisa vyama hivi vikafutwa kabisa? tena kile kinachoonekana kuwa ni tatizo kifutwe kabisa? Ni heri tuingie kwenye uchaguzi mdogo wa kitaifa kuliko kupoteza Amani na Uzalendo wa Taifa letu.VIVA chama cha NCCR-MAGEUZI-PAMOJA TUTASHINDA, MUNGU YUPO.

Ni wewe mwenyewe umeandika au Mama Clara kaiba password yako?
 
Tanzania tulipofikia hatuhitaji tena kuwa na vyama vya CCM na CHADEMA, hivi vyama vinasababisha Amani na Uzalendo wa Taifa letu kupotea, migogoro kila kukicha, leo tunasika CCM wana green guard hawa nao CHADEMA wana Red brigadi, je ni majeshi au ni vikundi? je katiba ya nchi inaruhusu? kama wote wamevunja katiba ya nchi kwa kuanzisha waliyoanzisha nini kifanyike? Ni bora kabisa vyama hivi vikafutwa kabisa? tena kile kinachoonekana kuwa ni tatizo kifutwe kabisa? Ni heri tuingie kwenye uchaguzi mdogo wa kitaifa kuliko kupoteza Amani na Uzalendo wa Taifa letu.VIVA chama cha NCCR-MAGEUZI-PAMOJA TUTASHINDA, MUNGU YUPO.
Njoo na ID yako kamili au unaogopa?Au rudi FB kule
 
Tanzania tulipofikia hatuhitaji tena kuwa na vyama vya CCM na CHADEMA, hivi vyama vinasababisha Amani na Uzalendo wa Taifa letu kupotea, migogoro kila kukicha, leo tunasika CCM wana green guard hawa nao CHADEMA wana Red brigadi, je ni majeshi au ni vikundi? je katiba ya nchi inaruhusu? kama wote wamevunja katiba ya nchi kwa kuanzisha waliyoanzisha nini kifanyike? Ni bora kabisa vyama hivi vikafutwa kabisa? tena kile kinachoonekana kuwa ni tatizo kifutwe kabisa? Ni heri tuingie kwenye uchaguzi mdogo wa kitaifa kuliko kupoteza Amani na Uzalendo wa Taifa letu.VIVA chama cha NCCR-MAGEUZI-PAMOJA TUTASHINDA, MUNGU YUPO.
Hutu tuvyama kama Nccr kabla ya chadema kuwa na sera kama sasa kilivyo sasa na kuwa mi mmoja wao, sikuwahi kuwa na hamu ya kuwa na chama chochote kutokana na ujinga na upumbavu wa siasa za upinzani tz, haya yote matawi ya ccm isipokuwa CDM na ndio maana nilipogundua hilo nilijiunga nao. Unavyodhihirisha unafiki wako baba mzima ulikuwa wapi siku zote usikemee green gurd au usishabikie ccm kufutwa ila cdm tu ilipotangaza kuanzisha red briged naona wapambe wa ccm i.e Nccr mnakurupuka bila hata kuvaa ch>p>i.....inawezekanaje ukawa mbunge wa upinzani kwa kuteuliwa na rais wa chama tawala kwa siasa za kiafrika na hasa tz ? Mpaka kesho baada ya uteuzi ule nikagundua kafulila alikuwa na hoja ya msingi mno ambayo vipofu hawaoni. Acha unafiki ili tujenge nchi ambayo clara atakuja kuifurahia sio kumuandalia kihama
:help::help::help::help:
 
Kusema kweli Baba Clara si yeye kaandika na kama ndie basi si mtanzania! na kama ni mbongo basi akili yake haina akili wala uwezo wa kufikiri, ingekuwa vema akaomba ushauri wa kuandika toka kwa clara ambaye naamini atapenda future nzuri ya nchi yake na ambayo Cdm ina straggle kuweka sawa Jahazi la nchi hii linalozamishwa na ufisadi na utawala mbovu wa Ccm. Tutafunga boot na kusonga mbele bila woga kwani "there is no gain without pain" Ciao!!!
 
Tunajua Janja ya CCm, hata wakifanya mikutano ya siri haisaidii !! kwisha jua janja ya nyani hapana vuna mabua!!
 
Tanzania tulipofikia hatuhitaji tena kuwa na vyama vya CCM na CHADEMA, hivi vyama vinasababisha Amani na Uzalendo wa Taifa letu kupotea, migogoro kila kukicha, leo tunasika CCM wana green guard hawa nao CHADEMA wana Red brigadi, je ni majeshi au ni vikundi? je katiba ya nchi inaruhusu? kama wote wamevunja katiba ya nchi kwa kuanzisha waliyoanzisha nini kifanyike? Ni bora kabisa vyama hivi vikafutwa kabisa? tena kile kinachoonekana kuwa ni tatizo kifutwe kabisa? Ni heri tuingie kwenye uchaguzi mdogo wa kitaifa kuliko kupoteza Amani na Uzalendo wa Taifa letu.VIVA chama cha NCCR-MAGEUZI-PAMOJA TUTASHINDA, MUNGU YUPO.

CUF je? unaiogopa? Au hauwasikii akina Lipumba; Seif na mapenzi ya Mtwara...
 
Au waungane basi. Chama Cha Demokrasia na Mapinduzi

Mkuu unataka kutokee species za ajabu haijapata tokea duniani maana hivi vyama vimeacha kupambana kwa nguvu za hoja na badala yake vinapambana kwa hoja za nguvu.
 
Back
Top Bottom