Kama ingekuwa ni mpira wa miguu, basi tungesema CDM walikosa nafasi nyingi za kufunga kuliko CCM, kibaya zaidi nyingi zilikuwa penati lakini wapigaji wakapaisha mipira au wakampasia kipa badala ya kufunga. Nafasi kama hizi ni nadra sana kujirudia. hakika CDM mtaujutia mwaka 2011.